MZEE SMALL KUZIKWA KESHO MAKABURI YA SEGEREA
Mzee Small enzi za uhai wake akibadilishana mawazo na Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally. MWILI wa msanii mkongwe wa vichekesho nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ utazikwa kesho saa 10 jioni katika makaburi ya Segerea jijini Dar es Salaam. Marehemu Mzee Small alifariki dunia jana usiku akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAMIA WAMZIKA MZEE SMALL MAKABURI YA SEGEREA, DAR
11 years ago
GPL
PICHA YA KWANZA: MZEE SMALL AZIKWA MAKABURI YA SEGEREA, DAR
10 years ago
GPL
APOSTLE JOHN KOMANYA KUZIKWA JUMATANO MAKABURI YA SEGEREA, DAR
10 years ago
GPLAMIGOLAS KUZIKWA KESHO MAKABURI YA KISUTU, DAR
11 years ago
Michuzi
MAREHEMU SIJAONA SIMON KUZIKWA KESHO MEI 25, 2015 MAKABURI YA KINONDONI, DAR

Mazishi yatafanyika jumapili tarehe 25/5/2014 saa tisa mchana katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam. Misa ya kumuaga marehemu na kutoa heshima za mwisho, itafanyika kwa Marehemu Sijaona magorofa ya Urafiki block QA.
Taarifa ziwafikie kaka yake mkubwa William Lukuba wa Nyakato...
11 years ago
GPLMZEE GURUMO KUZIKWA KESHO KWAO KISARAWE, MKOA WA PWANI
10 years ago
Michuzi.jpg)
Tanzia: Sheikh Ali Mzee Comorian afariki dunia mchana huu, kuzikwa kesho saa nne asubuhi
.jpg)
Mwenyezi Mungu ampe Kauli Thabit Imetolewa na:Abdulrahman S. I....
11 years ago
Bongo521 Oct
YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...