Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZEE SMALL KUZIKWA KESHO MAKABURI YA SEGEREA

Mzee Small enzi za uhai wake akibadilishana mawazo na Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally. MWILI wa msanii mkongwe wa vichekesho nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ utazikwa kesho saa 10 jioni katika makaburi ya Segerea jijini Dar es Salaam. Marehemu Mzee Small alifariki dunia jana usiku akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu. ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMIA WAMZIKA MZEE SMALL MAKABURI YA SEGEREA, DAR

Jeneza la Mzee Small likiombewa.   Jeneza likipelekwa kwenye gari.
...Llikiwekwa ndani ya gari.…

 

11 years ago

GPL

PICHA YA KWANZA: MZEE SMALL AZIKWA MAKABURI YA SEGEREA, DAR

Mwili wa Mzee Small ukiwa kaburini. HATIMAYE mkongwe wa maigizo nchini, Mzee Small amezikwa katika makaburi ya Segerea, Dar ambapo mamia ya watu wamehudhuria maziko yake. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)

 

10 years ago

GPL

APOSTLE JOHN KOMANYA KUZIKWA JUMATANO MAKABURI YA SEGEREA, DAR

Apostle John Komanya akiwa studio za Global TV Online enzi za uhai wake. MAZISHI ya Askofu Mkuu na Mwanzilishi wa Kanisa la Cathedral of Joy (CoJ), Apostle John Komanya, yanatarajia kufanyika Jumatano, Julai 8, mwaka huu katika Makaburi ya Tabata-Segerea jijini Dar es Salaam. Apostle John Komanya akiwa na mkewe. Apostle Komanya alifariki dunia usiku wa kuamkia jana akiwa katika Hospitali ya HIndu Mandal, jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

GPL

AMIGOLAS KUZIKWA KESHO MAKABURI YA KISUTU, DAR

Mkurugegenzi wa ASET,  Asha Baraka akiwa msibani. Rogert Hega, 'Katapilla' akiwa msibani. Victor Mkambi akiwa msibani.…

 

11 years ago

Michuzi

MAREHEMU SIJAONA SIMON KUZIKWA KESHO MEI 25, 2015 MAKABURI YA KINONDONI, DAR

Familia ya bwana Sijaona Simon wa Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mzazi ndugu Simon Malosha kilichotokea siku ya alhamisi tarehe 22/5/2014 saa nane mchana katika hospitali ya TMJ. 

Mazishi yatafanyika jumapili tarehe 25/5/2014 saa tisa mchana katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam. Misa ya kumuaga marehemu na kutoa heshima za mwisho, itafanyika kwa Marehemu Sijaona magorofa ya Urafiki block QA.

Taarifa ziwafikie kaka yake mkubwa William Lukuba wa Nyakato...

 

11 years ago

GPL

MZEE GURUMO KUZIKWA KESHO KWAO KISARAWE, MKOA WA PWANI

Waombolezaji wakiwa msibani. Ndugu wa marehemu wakiwa katika chumba cha wafiwa. Mke wa marehemu,…

 

10 years ago

Michuzi

Tanzia: Sheikh Ali Mzee Comorian afariki dunia mchana huu, kuzikwa kesho saa nne asubuhi

Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) amefariki dunia muda mchache uliopita nyumbani kwake mtaa wa Kariakoo jijini Dar es salaam. Shughuli za maziko zinafanyika hapo hapo nyumbani kwake.Habari ziwafikie ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo.  Maziko yatafanyika kesho Jumatatu saa nne asubuhi. Atasaliwa Msikiti wa Makonde na atazikwa katika Viunga vya Wangazija mtaa wa Bibi Titi Mohamed, Dar es salaam.
 Mwenyezi Mungu ampe Kauli Thabit  Imetolewa na:Abdulrahman S. I....

 

11 years ago

Bongo5

YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe

Msanii wa kundi la Wanaume Family YP aliyefariki usiku wa kuamkia leo kwa ugonjwa wa kifua, anatarajiwa kuagwa kesho (October 22) kwenye viwanja vya TCC Chang’ombe na baada ya hapo atazikwa katika makaburi ya Chang’ombe karibu na maduka mawili. Akizungumza ba BONGO 5 jioni hii, kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family amesema mpaka sasa […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aungana na waombolezaji kwenye Msiba wa marehemu Mzee Said Ngamba “Mzee Small” Jijini Dar

16

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014.

17

_1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa amejumuika na waombolezaji mbali mbali kwenye Msiba wa msanii maarufu wa filamu za vichekesho nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Rais wa Chama cha Filamu nchini,Simon Mwakifwamba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani