APOSTLE JOHN KOMANYA KUZIKWA JUMATANO MAKABURI YA SEGEREA, DAR
![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaqBWVPP0Nk24kPdRbGH78VXciF8ETpCrYuD2ob3GXkr83NOu1MDlcZ1ZvC54l5Jvx53g0icUX97B1*Rkghrh67x/komanya1.jpg?width=600)
Apostle John Komanya akiwa studio za Global TV Online enzi za uhai wake. MAZISHI ya Askofu Mkuu na Mwanzilishi wa Kanisa la Cathedral of Joy (CoJ), Apostle John Komanya, yanatarajia kufanyika Jumatano, Julai 8, mwaka huu katika Makaburi ya Tabata-Segerea jijini Dar es Salaam. Apostle John Komanya akiwa na mkewe. Apostle Komanya alifariki dunia usiku wa kuamkia jana akiwa katika Hospitali ya HIndu Mandal, jijini Dar es Salaam...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAREHEMU APOSTLE JOHN KOMANYA
Marehemu Apostle John KomanyaTaarifa ambazo zimetufikia alfajiri ya leo na kisha kuthibitishwapunde, zinaeleza kwamba Askofu Mkuu na mwanzilishi wa kanisa laCathedral of Joy (CoJ), Apostle John Komanya, amefariki dunia alfajiriya saa kumi kwenye hospitali ya HIndu Mandal, jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mchungaji msaidizi wa kanisa hilo, Abel John Kigeli,ameieleza GK kwamba Apostle Komanya alikuwa akisumbuliwa na maradhi yakisukari pamoja na typhoid, na kwamba siku za nyuma alikuwa...
11 years ago
GPLMZEE SMALL KUZIKWA KESHO MAKABURI YA SEGEREA
10 years ago
Mtanzania11 May
John Nyerere kuzikwa Jumatano Butiama
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MTOTO wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, John Nyerere, anatarajiwa kuzikwa Jumatano hii kijijini kwao Mwitongo wilayani Butiama mkoani Mara, baada ya kukamilika kwa taratibu za mazishi.
John alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alipokua amelazwa baada ya kuugua maradhi ya mapafu na kisukari yaliyosababisha kifo chake.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwao marehemu Msasani jijini Dar es Salaam, mjukuu wa Mwalimu...
11 years ago
GPLMAMIA WAMZIKA MZEE SMALL MAKABURI YA SEGEREA, DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75owCBECvsE8fVgBV4ozNxG*RdTn6m7uks4YaD1sJUatt4pQz3*XCH7DXVjz6EB3L05FNrNVhZCWt7wh5TpGhmKX/MAZISHI.jpg?width=650)
PICHA YA KWANZA: MZEE SMALL AZIKWA MAKABURI YA SEGEREA, DAR
10 years ago
CloudsFM10 Nov
AMIGOLAS KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
Amigolas amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa. Mwimbaji huyu ambaye hadi anafariki, alikuwa mtumishi wa bendi ya Ruvu Stars inayomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Amigo alilazwa Muhimbili...
10 years ago
GPLAMIGOLAS KUZIKWA KESHO MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
GPLSHEM KARENGA KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
10 years ago
MichuziJAJI ANTONY BAHATI KUZIKWA LEO MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA