John Nyerere kuzikwa Jumatano Butiama
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MTOTO wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, John Nyerere, anatarajiwa kuzikwa Jumatano hii kijijini kwao Mwitongo wilayani Butiama mkoani Mara, baada ya kukamilika kwa taratibu za mazishi.
John alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alipokua amelazwa baada ya kuugua maradhi ya mapafu na kisukari yaliyosababisha kifo chake.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwao marehemu Msasani jijini Dar es Salaam, mjukuu wa Mwalimu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 May
John Nyerere azikwa Butiama
Na Fredrick Katulanda, Butiama
ASKOFU wa Kanisa Katoliki jimbo la Musoma, Michael Msonganzila, ameongoza ibada ya mazishi ya mtoto wa nne wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Nyerere.
John alifariki dunia Mei 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Mahimbili, alipokuwa akipatiwa matibabu na jana alizikwa kijijini kwao Mwitongo wilayani Butiama, ambako viongozi mbalimbali wa taifa walihudhuria.
Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni viongozi wa vyama vya siasa, wabunge huku Waziri wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zvxMwCoWaaqBWVPP0Nk24kPdRbGH78VXciF8ETpCrYuD2ob3GXkr83NOu1MDlcZ1ZvC54l5Jvx53g0icUX97B1*Rkghrh67x/komanya1.jpg?width=600)
APOSTLE JOHN KOMANYA KUZIKWA JUMATANO MAKABURI YA SEGEREA, DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NefYiu42lUw/VYcyC2AKTkI/AAAAAAAHiPU/LpOGIUxkdUU/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
9 years ago
GPLDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
9 years ago
Habarileo11 Oct
Mallah kuzikwa Jumatano Moshi
MWILI wa a l i y e k u w a m g o m b e a ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia ACT- Wazalendo, Estomih Mallah unatarajiwa kuwasili siku ya Jumanne nyumbani kwake eneo la Suye Kimandolu jijini Arusha kwa ajili ya kuagwa.
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Mama wa wanahabari kuzikwa Jumatano Mbeya
Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake.
![Sehemu ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika Mbagala Kuu, eneo la Bucha jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mtoto wake mkubwa wa kike.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_00131.jpg)
Sehemu ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika Mbagala Kuu, eneo la Bucha jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mtoto wake mkubwa wa kike.
![Kwaya ya Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam ikiimba kuomboleza msiba huo jana.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0043.jpg)
Kwaya ya Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam ikiimba kuomboleza msiba huo jana.
![Baadhi ya wanakwaya wa Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam wakiimba kuomboleza kwa pamoja na waombolezaji katika msiba huo jana.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0049.jpg)
Baadhi ya wanakwaya wa Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam wakiimba kuomboleza kwa pamoja na waombolezaji katika msiba huo jana.
![Baadhi ya wanakwaya wa Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam wakiimba kuomboleza kwa pamoja na waombolezaji katika msiba huo jana.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0048.jpg)
Baadhi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s72-c/1.jpg)
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AZIKWA LEO BUTIAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-STOQIrWW5uo/VVN6WRYF8wI/AAAAAAAAbsM/MQvVTseQoDk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1M6iZynaMHE/VVN6WZCFfII/AAAAAAAAbsI/qg2q-a8X8mE/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziPINDA AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE KIJIJINI BUTIAMA