MTOTO WA MWALIMU NYERERE AZIKWA LEO BUTIAMA

Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma Mhashamu Michael Msonganzila akisali mbele ya jeneza la marehemu John Guido Nyerere kabla halijaingia kanisani kwa ajili ya ibada maalum iliyofanyika kwenye Kanisa Katoliki la Bikira Maria wa Damu Azizi ya Yesu Jimbo la Musoma Parokia ya Butiama.
Viongozi na wananchi wakishiriki ibada ya kumuombea marehemu John Gaudo Nyerere katika Kanisa Katoliki la Bikira Maria wa Damu Azizi ya Yesu Jimbo la Musoma Parokia ya Butiama
Askofu wa Kanisa Katoliki...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania14 May
John Nyerere azikwa Butiama
Na Fredrick Katulanda, Butiama
ASKOFU wa Kanisa Katoliki jimbo la Musoma, Michael Msonganzila, ameongoza ibada ya mazishi ya mtoto wa nne wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, John Nyerere.
John alifariki dunia Mei 9 mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Mahimbili, alipokuwa akipatiwa matibabu na jana alizikwa kijijini kwao Mwitongo wilayani Butiama, ambako viongozi mbalimbali wa taifa walihudhuria.
Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni viongozi wa vyama vya siasa, wabunge huku Waziri wa...
10 years ago
Michuzi
MEMBE AHUDHURIA MSIBA WA MTOTO WA JENERALI MSUGURI NA KUHANI MSIBA WA JOHN NYERERE BUTIAMA MKOANI MARA

10 years ago
GPL
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AFARIKI DUNIA
10 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
11 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere ni leo
11 years ago
GPLMTOTO WA MSEMAJI WA IKULU, SALVATORY RWEYEMAMU AZIKWA LEO
10 years ago
GPLDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
10 years ago
Michuzi
Leo ni siku ya kuzaliwa mwalimu julius kambarage nyerere

11 years ago
Vijimambo14 Oct