MTOTO WA MSEMAJI WA IKULU, SALVATORY RWEYEMAMU AZIKWA LEO
Askari wakitoa mwili wa marehemu kitika gari. Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba jeneza la mwenzao. Brian enzi za uhai…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzinews alert: I depart the State House a Happy Man - Salvatory Rweyemamu
One of the most admirable attributes of this digital age sweeping our lives, is the capacity it has created for would be volunteers, who are in no way in shortage, in our society, to create and disseminate discriminatory information regarding other people.A...
11 years ago
Dewji Blog18 May
Private Brian Salva Rweyemamu azikwa jijini Dar
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ofisi ya Rais Bw. Salva Rweyemamu na mkewe Isabella wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mtoto wao Private Brian Salva Rweyemamu katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam jana Mei 17, 2014.
Dada wa Marehemu Private Brian Salva Rweyemamu wakiweka shada la maua wakati wa mazishi katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salva Kikwete wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Private Brian Salva Rweyemamuwakati...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s72-c/1.jpg)
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AZIKWA LEO BUTIAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-STOQIrWW5uo/VVN6WRYF8wI/AAAAAAAAbsM/MQvVTseQoDk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1M6iZynaMHE/VVN6WZCFfII/AAAAAAAAbsI/qg2q-a8X8mE/s640/3.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Mtoto Nasra azikwa kishujaa
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Mtoto albino azikwa chini ya ulinzi
Na Benjamin Masese, Geita
MABAKI ya mwili wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Yohana Bahati (1) ambaye alitekwa Februari 16, mwaka huu na kuuawa kwa kukatwa mikono na miguu, jana yalizikwa kaburini chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mazishi ya mtoto huyo yalifanyika saa tisa alasiri katika Kijiji cha Ilelema, Wilaya ya Chato, mkoani Geita, huku polisi wakiwa wameimarisha ulinzi.
Mabaki ya mwili wa mtoto huyo yalipelekwa kwanza nyumbani kwa babu yake, Misalaba Manyamche, saa sita mchana kabla ya...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Mtoto aliyeteswa kwenye boksi azikwa
SAFARI ya mwisho ya mtoto Nasra Mvungi (4), iliyokuwa ya mateso hapa duniani, imefikia mwisho jana katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, bila kusindikizwa na baba yake mzazi, Rashid Mvungi. Nasra kwa zaidi ya miaka mitatu hapa duniani, inadaiwa alikuwa akiishi katika boksi lililokuwa kitanda, choo, sehemu ya kuchezea na meza yake ya kulia chakula.
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Mtoto aliyeopolewa baharini azikwa Syria
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Mtoto aliyekufa kwa ajali azikwa Uganda
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s72-c/DSC_1214.jpg)
Sheikh Ali Mzee Comorian azikwa leo kwenye Makaburi ya Wangazija,jijini Dar leo
Mamia ya watu wameshiriki katika mazishi ya Sheikh Ali Mzee Comorian yaliyofanyika leo katika makaburi ya Wangazija yaliyopo katika barabara ya Bibi Titi jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yameongozwa na Rais Mstaafu wa awamu ya pili ,Alhaj Ali Hassan Mwinyi na kusema kifo cha sheikh huyo ni mipango ya mungu kwa kila mtu safari yake ipo.
Alisema kifo cha sheikh kinatakiwa kuenziwa kwa mema aliyoyafanya katika uhai wake katika kupigania...