Mtoto aliyeopolewa baharini azikwa Syria
Miili ya mtoto wa Syria Allan Kurdi na jamaa ya familia yake imezikwa Kobane nchini Syria baada ya kusafirishwa kutoka Uturuki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Mtoto aliyefariki baharini kuzikwa leo
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Mtoto Nasra azikwa kishujaa
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Mtoto albino azikwa chini ya ulinzi
Na Benjamin Masese, Geita
MABAKI ya mwili wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Yohana Bahati (1) ambaye alitekwa Februari 16, mwaka huu na kuuawa kwa kukatwa mikono na miguu, jana yalizikwa kaburini chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mazishi ya mtoto huyo yalifanyika saa tisa alasiri katika Kijiji cha Ilelema, Wilaya ya Chato, mkoani Geita, huku polisi wakiwa wameimarisha ulinzi.
Mabaki ya mwili wa mtoto huyo yalipelekwa kwanza nyumbani kwa babu yake, Misalaba Manyamche, saa sita mchana kabla ya...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Mtoto aliyeteswa kwenye boksi azikwa
SAFARI ya mwisho ya mtoto Nasra Mvungi (4), iliyokuwa ya mateso hapa duniani, imefikia mwisho jana katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, bila kusindikizwa na baba yake mzazi, Rashid Mvungi. Nasra kwa zaidi ya miaka mitatu hapa duniani, inadaiwa alikuwa akiishi katika boksi lililokuwa kitanda, choo, sehemu ya kuchezea na meza yake ya kulia chakula.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s72-c/1.jpg)
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AZIKWA LEO BUTIAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-STOQIrWW5uo/VVN6WRYF8wI/AAAAAAAAbsM/MQvVTseQoDk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1M6iZynaMHE/VVN6WZCFfII/AAAAAAAAbsI/qg2q-a8X8mE/s640/3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Mtoto aliyekufa kwa ajali azikwa Uganda
11 years ago
GPLMTOTO WA MSEMAJI WA IKULU, SALVATORY RWEYEMAMU AZIKWA LEO
9 years ago
Bongo528 Sep
Angelina Jolie na Brad Pitt kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki