Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto aliyeopolewa baharini azikwa Syria

Miili ya mtoto wa Syria Allan Kurdi na jamaa ya familia yake imezikwa Kobane nchini Syria baada ya kusafirishwa kutoka Uturuki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyefariki baharini kuzikwa leo

Mwili wa mtoto uliopatikana ufuoni mwa bahari Uturuki atazikwa leo nyumban kwao baada ya babake kuruhusiwa kuchukua mwili wake

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto Nasra azikwa kishujaa

>Mtoto huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka minne, alifariki Juni Mosi kwenye Hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya homa ya mapafu. Aliishi kwenye boksi tangu alipokuwa na umri wa miezi tisa.

 

10 years ago

Mtanzania

Mtoto albino azikwa chini ya ulinzi

Joseph KonyoNa Benjamin Masese, Geita
MABAKI ya mwili wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Yohana Bahati (1) ambaye alitekwa Februari 16, mwaka huu na kuuawa kwa kukatwa mikono na miguu, jana yalizikwa kaburini chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mazishi ya mtoto huyo yalifanyika saa tisa alasiri katika Kijiji cha Ilelema, Wilaya ya Chato, mkoani Geita, huku polisi wakiwa wameimarisha ulinzi.
Mabaki ya mwili wa mtoto huyo yalipelekwa kwanza nyumbani kwa babu yake, Misalaba Manyamche, saa sita mchana kabla ya...

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto aliyeteswa kwenye boksi azikwa

SAFARI ya mwisho ya mtoto Nasra Mvungi (4), iliyokuwa ya mateso hapa duniani, imefikia mwisho jana katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, bila kusindikizwa na baba yake mzazi, Rashid Mvungi. Nasra kwa zaidi ya miaka mitatu hapa duniani, inadaiwa alikuwa akiishi katika boksi lililokuwa kitanda, choo, sehemu ya kuchezea na meza yake ya kulia chakula.

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA MWALIMU NYERERE AZIKWA LEO BUTIAMA

 Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Musoma Mhashamu Michael Msonganzila akisali mbele ya jeneza la marehemu John Guido Nyerere kabla halijaingia kanisani kwa ajili ya ibada maalum iliyofanyika kwenye Kanisa Katoliki la Bikira Maria wa Damu Azizi ya Yesu Jimbo la Musoma Parokia ya Butiama. Viongozi na wananchi wakishiriki ibada ya kumuombea marehemu John Gaudo Nyerere katika Kanisa Katoliki la Bikira Maria wa Damu Azizi ya Yesu Jimbo la Musoma Parokia ya Butiama Askofu wa Kanisa Katoliki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyekufa kwa ajali azikwa Uganda

Shughuli za mazishi ya Mtoto wa miaka miwili aliyegongwa na gari ya mamlaka ya mji wa Kampala zimefanyika nchini Uganda

 

11 years ago

GPL

MTOTO WA MSEMAJI WA IKULU, SALVATORY RWEYEMAMU AZIKWA LEO

Askari wakitoa mwili wa marehemu kitika gari. Askari wa JWTZ wakiwa wamebeba jeneza la mwenzao. Brian enzi za uhai…

 

9 years ago

Bongo5

Angelina Jolie na Brad Pitt kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria

Couple ya waigizaji, Angelina Jolie na mumewe Brad Pitt wanatarajia kuongeza member mpya kwenye familia yao yenye watoto 6. Kwa mujibu wa Radar Online, couple hiyo inasemekana wanatarajia kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria. Chanzo kimoja kimesema kuwa kwasasa wako kwenye taratibu za mwisho za kumuasili mtoto huyo yatima ambaye Jolie alikutana naye alipotembelea vituo […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani