Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto Nasra azikwa kishujaa

>Mtoto huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka minne, alifariki Juni Mosi kwenye Hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya homa ya mapafu. Aliishi kwenye boksi tangu alipokuwa na umri wa miezi tisa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mtoto nasra rashid afariki dunia

Mtoto Nasrah Rashid, aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia leo na kuacha huzuni kubwa miongoni mwa wananchi wakiosikia mkasa wake wa kusikitisha.   Nasra alifichwa kwenye boksi na mama yake mkubwa aitwaye Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro tangu akiwa na miezi tisa baada ya mama yake mzazi kufariki dunia. Bw. Rashid Mvungi akimuangalia mtoto wake Nasrah...

 

11 years ago

GPL

MTOTO NASRA AAGWA UWANJA WA JAMHURI MORO

Umati wa watu uliofurika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuaga mwili wa Nasra. Wanafunzi wa Shule za Msingi Mkoani Morogoro nao walijumuika kumuaga mtoto Nasra Rashid katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. (PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE / GPL,…

 

11 years ago

Mwananchi

Mke wa Mvungi akubali kumlea mtoto Nasra

Mke wa Rashid Mvungi, baba mzazi wa Nasra (4) aliyefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, amekubali kumlea mtoto wake huyo wa kambo kwa hali na mali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tukio la mtoto Nasra liwe funzo kwetu

NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wetu kwa kukatisha mfululizo wa maelezo kuhusiana na ujauzito. Nimeamua kufanya hivyo ili kuungana na wenzangu katika kuonyesha hisia zangu kuhusiana na tukio lililojiri hivi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Bendera aongoza mamia kumzika mtoto Nasra


NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, jana aliongoza mamia ya wakazi wa mkoa huo katika mazishi ya mtoto Nasra Mvungi, aliyekaa kwenye boksi kwa miaka minne.
Nasra alifariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alikokuwa amelazwa akitokea katika Hospitali ya Rufani ya Morogoro.
Mazishi hayo yalifanyika katika makaburi ya Kola,  Manispaa ya Morogoro, ambayo yalitanguliwa na ibada ya sala pamoja na kuuaga mwili wa mtoto huyo katika...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA BISHANGA AWALILIA GEORGE TYSON NA MTOTO NASRA

Kifo cha George Tyson ni pigo kubwa lingine kwa taifa na fani ya filamu, George Tyson ukweli ametuinua wengi katika fani ya filamu kwa kazi yake nzuri ya kama director na producer wa filamu, nami ni zao la kazi nzuri ya Tyson katika kazi za filamu, hapa itakumbukwa mwaka 1998 hadi 2000 kipindi cha mambo hayo kilichokuwa kikirushwa ITV kilikuwa moto sana nchi nzima ilipata kushuhudia tulivyokuwa tunacheza, mfano wakati Bishanga alipomleta Waridi kama mchumba wake kule kijini kwetu...

 

11 years ago

Michuzi

mazishi ya mtoto nasra mjini morogoro yakusanya maelfu ya waombolezaji

 Hatimaye Mtoto Nasra Mvungi aliyefariki Juni mosi mwaka huu kufuatia kuaishi katika matesa makubwa kutoka kwa mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki na kuishi katika boksi bila huduma muhimu anazostahili kupatiwa binadamu hasa mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja amezikwa kwa heshima zote na wakazi wa Morogoro wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Joel Nkaya Bendera, Mbunge wa Morogoro mjini, Abdulaziz Abood na mfanyabiashara wa mabasi na vituo vya mafuta mkoani Morogoro Al Saed Omary....

 

11 years ago

GPL

VILIO VYATAWALA MWILI WA MTOTO NASRA UKIWASILI MKOANI MORO

Waombolezaji wakiangua kilio baada ya mwili wa marehemu Nasra Rashid (4) kuwasili mkoani Morogoro. Mwili wa mtoto Nasra Rashid ukiwasili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani