Mke wa Mvungi akubali kumlea mtoto Nasra
Mke wa Rashid Mvungi, baba mzazi wa Nasra (4) aliyefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, amekubali kumlea mtoto wake huyo wa kambo kwa hali na mali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo519 Jan
H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili
H.Baba amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili. Akizungumza na 255 ya XXL leo, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake. “Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa tena,” alisema. “Nikwambie kitu kimoja mimba […]
11 years ago
Daily News05 Jun
Nasra Mvungi's episode could be tip of the iceberg!
Daily News
IT is high time the ministries responsible for the welfare of children on both Tanzania Mainland and Zanzibar as well as the social welfare departments on either part of the united republic got their act right as far as this part of their diverse undertaking is ...
11 years ago
GPL
FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA
ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....
10 years ago
Vijimambo
SHILOLE KIUNO AJIPA JUKUMU LA KUMLEA MTOTO MDOGO ALIYEKIMBIA KWAO KUOLEWA!

Muimbaji wa ‘Namchukua’ Shilole, ameamua kumchukua binti aitwaye Pendo baada ya kutoroka nyumbani kwao Morogoro akikimbia kuozeshwa kwa lazima. Shilole ameposti picha Instagram na kuandika:Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na @dahuucloudsfm milipata kuskia story ya huyo bint hapo kwenye picha! Kuwa ametoroka kwao tanga kuja dar kwA sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Mtoto Nasra azikwa kishujaa
>Mtoto huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka minne, alifariki Juni Mosi kwenye Hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya homa ya mapafu. Aliishi kwenye boksi tangu alipokuwa na umri wa miezi tisa.
10 years ago
Bongo526 Oct
Chris Brown na mzazi mwenzie waweka tofauti pembeni kumlea pamoja mtoto wao Royalty
Chris Brown na mzazi mwenzie, Nia Guzman wamemaliza tofauti zao ili kushirikiana pamoja kumlea mtoto wao, Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Vyanzo vilivyo karibu na Chris na Nia vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wawili hao hivi karibuni walikubaliana kumlea mtoto wao kwa amani. Wameamua kumpeleka pamoja kwenye mazoezi ya kuogelea, shuleni na michezo mbalimbali. […]
11 years ago
Michuzi
mtoto nasra rashid afariki dunia
Mtoto Nasrah Rashid, aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia leo na kuacha huzuni kubwa miongoni mwa wananchi wakiosikia mkasa wake wa kusikitisha.
Nasra alifichwa kwenye boksi na mama yake mkubwa aitwaye Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro tangu akiwa na miezi tisa baada ya mama yake mzazi kufariki dunia.
Bw. Rashid Mvungi akimuangalia mtoto wake Nasrah...

11 years ago
GPLMTOTO NASRA AAGWA UWANJA WA JAMHURI MORO
Umati wa watu uliofurika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuaga mwili wa Nasra. Wanafunzi wa Shule za Msingi Mkoani Morogoro nao walijumuika kumuaga mtoto Nasra Rashid katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. (PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE / GPL,…
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Tukio la mtoto Nasra liwe funzo kwetu
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wetu kwa kukatisha mfululizo wa maelezo kuhusiana na ujauzito. Nimeamua kufanya hivyo ili kuungana na wenzangu katika kuonyesha hisia zangu kuhusiana na tukio lililojiri hivi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania