Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO NASRA AAGWA UWANJA WA JAMHURI MORO

Umati wa watu uliofurika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuaga mwili wa Nasra. Wanafunzi wa Shule za Msingi Mkoani Morogoro nao walijumuika kumuaga mtoto Nasra Rashid katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. (PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE / GPL,…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

VILIO VYATAWALA MWILI WA MTOTO NASRA UKIWASILI MKOANI MORO

Waombolezaji wakiangua kilio baada ya mwili wa marehemu Nasra Rashid (4) kuwasili mkoani Morogoro. Mwili wa mtoto Nasra Rashid ukiwasili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.…

 

10 years ago

GPL

YANGA YAINOA POLISI MORO 1-0 UWANJA WA JAMHURI MKOANI MOROGORO

Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akipongezwa na mwenzake baada ya kuifungia timu yake bao pekee dhidi ya Polisi Moro jana. Danny Mrwanda (kati) akijaribu kumtoka mchezaji wa timu ya Polisi Moro.…

 

11 years ago

CloudsFM

MTOTO ALIYEWEKWA KWENYE BOKSI KWA MIAKA MINNE KUZIKWA KWA HESHIMA ZOTE,KUAGWA KATIKA UWANJA WA JAMHURI,MOROGORO

Msiba wa mtoto Nasra Mvungi (4), aliyeteswa kwa kufungiwa katika boksi kwa miaka minne, ambako ndiko alikokuwa akipewa chakula, kwenda haja kubwa na ndogo na kulala, imeibua simanzi jijini Dar es Salaam, Morogoro na katika maeneo mbalimbali nchini.


Jana taarifa za kufariki kwa Nasra aliyekuwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zilisambaa katika maeneo mbalimbali nchini na baadaye kuthibitishwa na Msemaji wa hospitali hiyo, Aminiel Aligaeshi.


Mwishoni...

 

10 years ago

GPL

MWANDISHI INNOCENT MUNYUKU AAGWA, ASAFIRISHWA MORO

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, akitoa heshima. Mhariri Mtendaji wa magazeti ya Global Publishers, Richard Manyota, akipiga ishara ya msalaba kumuombea marehemu afike salama kwenye safari…

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto Nasra azikwa kishujaa

>Mtoto huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka minne, alifariki Juni Mosi kwenye Hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya homa ya mapafu. Aliishi kwenye boksi tangu alipokuwa na umri wa miezi tisa.

 

11 years ago

Michuzi

mtoto nasra rashid afariki dunia

Mtoto Nasrah Rashid, aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuugua na kupata ulemavu kwa kufungiwa kwenye boksi miaka minne amefariki dunia leo na kuacha huzuni kubwa miongoni mwa wananchi wakiosikia mkasa wake wa kusikitisha.   Nasra alifichwa kwenye boksi na mama yake mkubwa aitwaye Mariamu Said mkazi wa Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro tangu akiwa na miezi tisa baada ya mama yake mzazi kufariki dunia. Bw. Rashid Mvungi akimuangalia mtoto wake Nasrah...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Bendera aongoza mamia kumzika mtoto Nasra


NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, jana aliongoza mamia ya wakazi wa mkoa huo katika mazishi ya mtoto Nasra Mvungi, aliyekaa kwenye boksi kwa miaka minne.
Nasra alifariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alikokuwa amelazwa akitokea katika Hospitali ya Rufani ya Morogoro.
Mazishi hayo yalifanyika katika makaburi ya Kola,  Manispaa ya Morogoro, ambayo yalitanguliwa na ibada ya sala pamoja na kuuaga mwili wa mtoto huyo katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Mke wa Mvungi akubali kumlea mtoto Nasra

Mke wa Rashid Mvungi, baba mzazi wa Nasra (4) aliyefichwa kwenye boksi kwa miaka minne, amekubali kumlea mtoto wake huyo wa kambo kwa hali na mali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani