Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANDISHI INNOCENT MUNYUKU AAGWA, ASAFIRISHWA MORO

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, akitoa heshima. Mhariri Mtendaji wa magazeti ya Global Publishers, Richard Manyota, akipiga ishara ya msalaba kumuombea marehemu afike salama kwenye safari…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MPIGANAJI MWENZETU INNOCENT MUNYUKU KUAGWA LEO HOSPITALI YA LUGALO JIJINI DAR

Habari wadau, naomba kuwajulisha kuwa mwili wa mwandishi wa zamani wa michezo, Innocent Munyuku aliyefariki dunia juzi, unaagwa leo Ijumaa kuanzia saa tano asubuhi hospitali ya Jeshi Lugalo, Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda Morogoro kwa mazishi.Pia mwili wa mwanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Baraka Karashani, aliyefariki juzi utazikwa kesho Jumamosi makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam badala ya leo makaburi Sinza kama ilivyokuwa imetangazwa...

 

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU

Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd marehemu Inocent Munyuku wakati wa kuaga mwili katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Matinyi akisoma...

 

11 years ago

GPL

MTOTO NASRA AAGWA UWANJA WA JAMHURI MORO

Umati wa watu uliofurika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuaga mwili wa Nasra. Wanafunzi wa Shule za Msingi Mkoani Morogoro nao walijumuika kumuaga mtoto Nasra Rashid katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. (PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE / GPL,…

 

9 years ago

BBCSwahili

Kifaru asafirishwa kilomita 16,000 akazalishe

Kifaru ndume mmoja amesafirishwa umbali za kilomita 16,000 kutoka Marekani hadi Indonesia ili akazalishe.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA

Meriam Ibrahim akiwa na mumewe Daniel Wani pamoja na mtoto wao wa kwanza. MWANAMKE wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada ya kukaa ubalozi wa Marekani mjini Khartoum, Sudan kwa zaidi ya mwezi mmoja. Meriam na familia yake wameondoka na ndege ya Serikali ya Italia wakisindikizwa na Makamu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Lapo Pistelli....

 

10 years ago

Daily News

JK mourns Munyuku, Baraka


JK mourns Munyuku, Baraka
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has sent a message of condolences to the Minter of Information, Youth, Culture and Sports, Fenella Mukangara, following the deaths on Wednesday of two sports journalts, Innocent Munyuku and Baraka Karashani. Senior Writer ...

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO APIGWA PINGU DOM, ASAFIRISHWA DAR

Shani Ramadhani
TOO much! Kufuatia skendo ya utapeli inayoendelea kumwandama mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kupigwa pingu mkoani Dodoma, baadaye akasafirishwa hadi Dar kwa msimamizi wa kazi zake, Alex Msama, kwa lengo la kumlipia deni alilokuwa akidaiwa, Ijumaa Wikienda lina kisa chote. Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando. Habari kutoka kwa chanzo zimeeleza kwamba, hivi karibuni, Rose...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Munyuku, Karashani kuzikwa leo

WAANDISHI wa Habari, Innocent Munyuku (New Habari -2006 Ltd) na Baraka Karashani (mwandishi wa kujitegemea) watazikwa leo kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam na Mkoani Morogoro. Munyuku alifariki dunia...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Sports Fraternity to Miss Munyuku, Karashani


Sports Fraternity to Miss Munyuku, Karashani
AllAfrica.com
TANZANIA Sports Writers Association (TASWA) on Wednesday got a big blow following the death of its member Baraka Karashani and another vibrant sports writer Innocent Munyuku, who both passed away in Dar es Salaam. According to TASWA Secretary ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani