Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kifaru asafirishwa kilomita 16,000 akazalishe

Kifaru ndume mmoja amesafirishwa umbali za kilomita 16,000 kutoka Marekani hadi Indonesia ili akazalishe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wingu lisilo la kawaida linalosafiri kilomita 10,000 kutoka Afrika hadi Amerika

Wingu jeusi lililojaa vumbi limekuwa likitanda katika eneo la Atlantic kwa siku kadhaa.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA

Meriam Ibrahim akiwa na mumewe Daniel Wani pamoja na mtoto wao wa kwanza. MWANAMKE wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada ya kukaa ubalozi wa Marekani mjini Khartoum, Sudan kwa zaidi ya mwezi mmoja. Meriam na familia yake wameondoka na ndege ya Serikali ya Italia wakisindikizwa na Makamu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Lapo Pistelli....

 

10 years ago

GPL

MWANDISHI INNOCENT MUNYUKU AAGWA, ASAFIRISHWA MORO

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, akitoa heshima. Mhariri Mtendaji wa magazeti ya Global Publishers, Richard Manyota, akipiga ishara ya msalaba kumuombea marehemu afike salama kwenye safari…

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO APIGWA PINGU DOM, ASAFIRISHWA DAR

Shani Ramadhani
TOO much! Kufuatia skendo ya utapeli inayoendelea kumwandama mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kupigwa pingu mkoani Dodoma, baadaye akasafirishwa hadi Dar kwa msimamizi wa kazi zake, Alex Msama, kwa lengo la kumlipia deni alilokuwa akidaiwa, Ijumaa Wikienda lina kisa chote. Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando. Habari kutoka kwa chanzo zimeeleza kwamba, hivi karibuni, Rose...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kifaru: Mtibwa chuo cha mafunzo

KLABU ya Mtibwa Sugar ya Manungu, Morogoro, imetamba kuwa ni chuo cha mafunzo kutokana na timu kubwa hapa nchini kugombania kusajili wachezaji wao. Tambo hizo zimekuja kutokana na kuwa kila...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

‘Kifaru’ cha JWTZ chavamia nyumba


Watatu wafariki papo hapo, wamo wanajeshiWengine taabani hospitali, JWTZ yachunguza
Na Rashid Mussa, MtwaraWATU watatu wakiwemo askari wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wamefariki dunia baada ya gari maalumu la kubebea askari la jeshi hilo kugonga nyumba katika Kijiji cha Mnollela mkoani Lindi.Katika ajali hiyo iliyotokea jana alfajiri wakati gari hilo likitokea Mtwara kwenda Masasi, askari wengine sita walijeruhiwa huku wawili kati yao wakiwa na hali mbaya.Kamanda wa Polisi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kifaru chagonga nyumba, chaua watatu

KIFARU cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jana kiliacha njia na kugonga nyumba mbili za raia na kusababisha vifo vya watu watatu katika Kijiji cha Mnolela barabara kuu ya Mtwara...

 

11 years ago

Mwananchi

Kifaru; Ofisa wa Mtibwa aliyezaliwa kichakani

Wadau wengi wa soka wamekuwa wakivutiwa na sauti, tambo na majigambo ya ofisa habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru Ligalambwike, lakini siri yake kubwa ni ushujaa na utundu wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani