Kifaru; Ofisa wa Mtibwa aliyezaliwa kichakani
Wadau wengi wa soka wamekuwa wakivutiwa na sauti, tambo na majigambo ya ofisa habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru Ligalambwike, lakini siri yake kubwa ni ushujaa na utundu wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Kifaru: Mtibwa chuo cha mafunzo
KLABU ya Mtibwa Sugar ya Manungu, Morogoro, imetamba kuwa ni chuo cha mafunzo kutokana na timu kubwa hapa nchini kugombania kusajili wachezaji wao. Tambo hizo zimekuja kutokana na kuwa kila...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi04 May
Waethiopia 55 wanaswa kichakani Himo
11 years ago
BBCSwahili13 Aug
''Nalala kichakani kukwepa tohara''
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXUVcl8r8pkcuKMxwQmkdpwaSOKOlA1TGi8-Uin8CpBHbTKg9RnIAtfS5VQmfyZJlB-bqTZZevsw2kmJEjPTsI6s/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
PADRI KATOLIKI ANASWA KICHAKANI!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLaYxggiLaA/VBBUotAI81I/AAAAAAAGijw/zaNIGr-0NRo/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MTU MMOJA ABAKWA,ANYONGWA KISHA ATUPWA KICHAKANI HUKO MKURANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLaYxggiLaA/VBBUotAI81I/AAAAAAAGijw/zaNIGr-0NRo/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Bupu kata ya Bupu Tarafa ya Mkamba wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani Forodesi Ntabegera (30) ameuwawa kwa kubakwa kisha kunyongwa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutupwa kichakani.
Kwa mujibu wa taarifa ziliotolewa na kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo Mrakibu Msaidizi wa Polisi (SSP) Athuman Mwambalaswa Marehemu kuwa marehemu alinyongwa na watu hao kwa kutumia kitenge chake alichokuwa amekivaa.
Kamanda...
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Kifaru asafirishwa kilomita 16,000 akazalishe
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Kifaru chagonga nyumba, chaua watatu
KIFARU cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), jana kiliacha njia na kugonga nyumba mbili za raia na kusababisha vifo vya watu watatu katika Kijiji cha Mnolela barabara kuu ya Mtwara...
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
‘Kifaru’ cha JWTZ chavamia nyumba
Watatu wafariki papo hapo, wamo wanajeshiWengine taabani hospitali, JWTZ yachunguza
Na Rashid Mussa, MtwaraWATU watatu wakiwemo askari wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wamefariki dunia baada ya gari maalumu la kubebea askari la jeshi hilo kugonga nyumba katika Kijiji cha Mnollela mkoani Lindi.Katika ajali hiyo iliyotokea jana alfajiri wakati gari hilo likitokea Mtwara kwenda Masasi, askari wengine sita walijeruhiwa huku wawili kati yao wakiwa na hali mbaya.Kamanda wa Polisi wa...