''Nalala kichakani kukwepa tohara''
Tohara kwa wanaume ni kitu kinachosifika,lakini wanaume hawa Kenya wanafanyiwa kitendo hicho kwa lazima. Na Odeo Sirari
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ88*IDmPDfNK1YPesy-OTAdj9bEXIDxLP*TSMIJyYQ5JYk7esmXIOr1UDhD45brsEs7kjmKw2IwlRuxe9G532-F/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NALALA NA MUME WANGU LOKESHENI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXUVcl8r8pkcuKMxwQmkdpwaSOKOlA1TGi8-Uin8CpBHbTKg9RnIAtfS5VQmfyZJlB-bqTZZevsw2kmJEjPTsI6s/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
PADRI KATOLIKI ANASWA KICHAKANI!
11 years ago
Mwananchi04 May
Waethiopia 55 wanaswa kichakani Himo
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Shamsa: Nalala na Mume Wangu Nikiwa Kambini
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ambae ameolewa na ana mtoto mmoja, amesema kuwa mara kadhaa anapokuwa kambini akishuti filamu mume wake, Dickson Matoke huwa anamfuata na kulala naye hadi asubuhi huku akiamini kufanya hivyo kunachangia kutochepuka.
Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa kitendo cha mumewe kumfuata haina maana kwamba wanavunja sheria zao bali hilo analifanya kwa kuwa yeye ni mke wa mtu na huwa anapewa chumba chake maalum.
“Mara nyingi ninapokuwa lokesheni kama...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Kifaru; Ofisa wa Mtibwa aliyezaliwa kichakani
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9kJepDzoEnA/VLUvSmfmYDI/AAAAAAAAmaY/tWwI4vFQjaA/s72-c/shamsaa900.jpg)
Shamsa Ford: Nalala na Mume Wangu Nikiwa Kambini
![](http://4.bp.blogspot.com/-9kJepDzoEnA/VLUvSmfmYDI/AAAAAAAAmaY/tWwI4vFQjaA/s640/shamsaa900.jpg)
Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa kitendo cha mumewe kumfuata haina maana kwamba wanavunja sheria zao bali hilo analifanya kwa kuwa yeye ni mke wa mtu na huwa anapewa chumba chake maalum.
“Mara nyingi ninapokuwa lokesheni kama si...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xLaYxggiLaA/VBBUotAI81I/AAAAAAAGijw/zaNIGr-0NRo/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MTU MMOJA ABAKWA,ANYONGWA KISHA ATUPWA KICHAKANI HUKO MKURANGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xLaYxggiLaA/VBBUotAI81I/AAAAAAAGijw/zaNIGr-0NRo/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
MKAZI wa Kijiji cha Bupu kata ya Bupu Tarafa ya Mkamba wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani Forodesi Ntabegera (30) ameuwawa kwa kubakwa kisha kunyongwa na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutupwa kichakani.
Kwa mujibu wa taarifa ziliotolewa na kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo Mrakibu Msaidizi wa Polisi (SSP) Athuman Mwambalaswa Marehemu kuwa marehemu alinyongwa na watu hao kwa kutumia kitenge chake alichokuwa amekivaa.
Kamanda...
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Wanaume wakimbia tohara Kenya
11 years ago
CloudsFM03 Jul
TOHARA YAUA 19 AFRIKA KUSINI
Wizara ya Afya nchini Afrika Kusini inasema kuwa wavulana kumi na tisa wamefariki dunia mwaka huu katika sherehe za kitamaduni za kuwapasha tohara wavulana.Mshukiwa huyo Dyana Salim Suleiman, amekanusha mashitaka hayo.
Dyana alijitetea kwa kusema kuwa gari lake lilitekwa nyara na kutumiwa kwa mashamulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kwamba alipigwa na kujeruhiwa vibaya huku akiachwa hali mahututi.
Mshukiwa huyo pamoja na wengine walifikishwa mahakamani Juni 23 ingawa hawakufunguliwa...