Shamsa Ford: Nalala na Mume Wangu Nikiwa Kambini
![](http://4.bp.blogspot.com/-9kJepDzoEnA/VLUvSmfmYDI/AAAAAAAAmaY/tWwI4vFQjaA/s72-c/shamsaa900.jpg)
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ambae ameolewa na ana mtoto mmoja, amesema kuwa mara kadhaa anapokuwa kambini akishuti filamu mume wake, Dickson Matoke huwa anamfuata na kulala naye hadi asubuhi huku akiamini kufanya hivyo kunachangia kutochepuka.
Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa kitendo cha mumewe kumfuata haina maana kwamba wanavunja sheria zao bali hilo analifanya kwa kuwa yeye ni mke wa mtu na huwa anapewa chumba chake maalum.
“Mara nyingi ninapokuwa lokesheni kama si...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Shamsa: Nalala na Mume Wangu Nikiwa Kambini
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ambae ameolewa na ana mtoto mmoja, amesema kuwa mara kadhaa anapokuwa kambini akishuti filamu mume wake, Dickson Matoke huwa anamfuata na kulala naye hadi asubuhi huku akiamini kufanya hivyo kunachangia kutochepuka.
Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa kitendo cha mumewe kumfuata haina maana kwamba wanavunja sheria zao bali hilo analifanya kwa kuwa yeye ni mke wa mtu na huwa anapewa chumba chake maalum.
“Mara nyingi ninapokuwa lokesheni kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ88*IDmPDfNK1YPesy-OTAdj9bEXIDxLP*TSMIJyYQ5JYk7esmXIOr1UDhD45brsEs7kjmKw2IwlRuxe9G532-F/Shamsa.jpg)
SHAMSA: NALALA NA MUME WANGU LOKESHENI
10 years ago
GPL12 Mar
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo
“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGAQKXNOuPF0D7VJvzjYn5JGM4F-Hy6uQQNWU84j9ScNvsZLHEm34wNqrjAdygZ9NBPNNDmqT53zWYFx3qshgvY/2.jpg?width=650)
SHAMSA: SIJAACHANA NA MUME WANGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGP9-7cwesnxrokm3yl3TcMgtAT86eCl2XaHIkLV2GfPmi4f0XnLrn5CaGkQGjhNAhiPEweGRIP87BiBcRZ5Jlm/shamsa.jpg?width=650)
SHAMSA: MSIMSOGELEE MUME WANGU!
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Shamsa: Sijutii Kuachana na Mume Wangu
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Shamsa Ford amesema kamwe hatajutia kitendo cha kuachana na mumewe, Dickson.
Akiongea na gazeti la Amani Shamsa alisema kuwa kipindi chote wakati yupo kwenye uhusiano na mumewe huyo waliefunga naye ndo ya kimilia alikuwa akiteseka na kupata shuruba nyingi japo hakuwa tayari kuziweka hadharani.
“Sijutii kuachana na mume wangu, nimepitia mateso mengi, sikotayari kurudi japokuwa nina motto naye” Shamsa alisema.
Kwa sasa inadaiwa Shamsa anatoka na Staa wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uqLqBDFuIfDJb1ItCXxbu3R57dIOvpeSFqxQtUgjx0l1-eLepoJnjYgW-NrZ7oHfWMiYckgDWNPPn8FBfcNtIHthhrqFg7Ai/Shamsa.jpg)
SHAMSA: BORA NIFE KULIKO KURUDIANA NA MUME WANGU
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa
Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...