GLOBAL TV ONLINE: MIMI NA MUME WANGU TUMEFUNGA NDOA YA KIMILA - SHAMSA FORD
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboShamsa Ford: Nalala na Mume Wangu Nikiwa Kambini
Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa kitendo cha mumewe kumfuata haina maana kwamba wanavunja sheria zao bali hilo analifanya kwa kuwa yeye ni mke wa mtu na huwa anapewa chumba chake maalum.
“Mara nyingi ninapokuwa lokesheni kama si...
10 years ago
GPLSHAMSA FORD ATINGA GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
GPLSHAMSA APIGWA NDOA YA KIMILA
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
Mimi na Shamsa Ford Tuliachana Vizuri – Nay wa Mitego
Nay wa Mitego amezungumzia jinsi alivyoachana na aliyekuwa mpenzi wake Samsha Ford baada ya mwanadada huyo kudai hataki tena kutoka kimapenzi na mastaa.
Nay wa Mitego na Shamsa Ford Katika Pozi
Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, rapa huyo alisema licha ya kuachana na mwanadada huyo bado ni mshkaji wake na wanapiga stori kama kawaida.
“Mimi binafsi sijui alikuwa anamaanisha nini lakini kitu ambacho naweza kusema mimi na Shamsa bado ni washkaji na hatuwezi kuja kuwa maadui hata siku moja...
9 years ago
Bongo529 Dec
Mimi na Shamsa Ford tuliachana vizuri – Nay wa Mitego
Nay wa Mitego amezungumzia jinsi alivyoachana na aliyekuwa mpenzi wake Samsha Ford baada ya mwanadada huyo kudai hataki tena kutoka kimapenzi na mastaa.
Akizungumza na Bongo5 Jumatatu hii, rapa huyo alisema licha ya kuachana na mwanadada huyo bado ni mshkaji wake na wanapiga stori kama kawaida.
“Mimi binafsi sijui alikuwa anamaanisha nini lakini kitu ambacho naweza kusema mimi na Shamsa bado ni washkaji na hatuwezi kuja kuwa maadui hata siku moja licha ya kuachana,” alisema. “Hatuna ugomvi...
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Shamsa Ford: Hawa Ndio Mastaa Wangu wa Tano wa Kiume Hapa Bongo
“Kwa upande wangu mimi kuna wanaume wa 5 ambao huwa nasemaga ni mastaa kupitiliza, yaani naamanisha akipita mtaani ni shida na kila mtu lazima ajue msanii kapita.. (1)Mzee majuto (2)Mboto (3)Kingwendu(4)Joti(5)Jacob……Hawa watu kwanza wanaongoza sana kupendwa na watoto yaani wakipita mtaani ni shida.aisee Mungu awabariki....na wewe nitajie wako 5 unaona wakipita mtaani kwako inakuwaga ni hekaheka”-Shamsa aliandika mtandaoni.
Hebu na sisi tuwataje wetu.
11 years ago
GPLSHAMSA: MSIMSOGELEE MUME WANGU!
10 years ago
GPLSHAMSA: SIJAACHANA NA MUME WANGU
10 years ago
GPLSHAMSA: NALALA NA MUME WANGU LOKESHENI