SHAMSA APIGWA NDOA YA KIMILA

Stori: Gladyness Mallya WAKATI wadau wa filamu za Kibongo wakisubiri kwa hamu kushuhudia ndoa ya staa wao, Shamsa Ford imebainika kwamba msanii huyo ameshapigwa ndoa ya kimyakimya na mchumba wake wa muda mrefu ambaye pia ni mzazi mwenzake, Dickson ‘Dick’. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wanadaiwa kufunga ndoa ya kimila nyumbani kwa mwanaume huyo, Tarime mkoani Mara wiki kadhaa zilizopita. “Shamsa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL12 Mar
10 years ago
GPL
NDOA YA SHAMSA YAVUNJIKA!
10 years ago
GPL
NAY AFUNGUKIA NDOA NA SHAMSA
10 years ago
GPL
OTILIA APIGWA NDOA USIKU
10 years ago
GPLSHAMSA: NDOA TUNASUBIRI MIPANGO YA MUNGU
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa
Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...
10 years ago
GPL
PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO
10 years ago
Mwananchi18 Jul
Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa