SHAMSA APIGWA NDOA YA KIMILA
![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIF9dCL4S-ZlGZhFPO-kSzlqYMr6RTH5eu8oKCQ9LGWu1dyH7wV7E42F6I7p6Xk0M8W3ss6VU9x*4bBkiBHfK-bw/shamsha.jpg?width=650)
Stori: Gladyness Mallya WAKATI wadau wa filamu za Kibongo wakisubiri kwa hamu kushuhudia ndoa ya staa wao, Shamsa Ford imebainika kwamba msanii huyo ameshapigwa ndoa ya kimyakimya na mchumba wake wa muda mrefu ambaye pia ni mzazi mwenzake, Dickson ‘Dick’. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wanadaiwa kufunga ndoa ya kimila nyumbani kwa mwanaume huyo, Tarime mkoani Mara wiki kadhaa zilizopita. “Shamsa na...
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania