Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa

>Wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimaasai (Malaigwanan) kutoka Wilaya ya Monduli wamemuomba waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kubaki na kuendelea kuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa sababu ndicho kilichomlea na anakijua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wazee wa kimila wawatisha waliofukuliwa Nyangalata

Wazee wa kimila wa makabila ya Wakurya na Waluo wamesema watu watano waliookolewa kutoka kwenye machimbo ya Nyangalata, Kahama ambao waliwekewa matanga kabla ya kuibuka wanatakiwa kufanyiwa mambo ya kimila, vinginevyo watakufa kiajabu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wawakilishi wa mabaraza ya wazee wa kimila wa Kimasai wakutana na Kinana

-Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCM-Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi

-Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji

-Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi

-Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.

 Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi...

 

10 years ago

Vijimambo

WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA

Wazee wa Kimasai wamuhakikishia Kinana uaminifu wao kwa CCM
Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi
Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi yao .Mwakilishi...

 

11 years ago

Michuzi

WAZEE WA KIMILA NA WAKIDINI WAASWA KUKAA NA VIJANA KUEPUKA MAOVU

a.KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda wa pili kulia akiwa anatoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya ziara yake katika mkoa wa Arusha b.
Waandishi wa habari wakiwa kazini
KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda amewataka wazee wa kimila (malwaigwanan), viongozi wa dini pamoja na wazazi kutumia muda wa ziada  kukaa na vijana wao na kukemea kuacha mara moja kutumiwa katika vitendo viovu vinavyoendelea mkoani hapa.

Alisema kuwa ,...

 

5 years ago

Michuzi

OXFAM TANZANIA YAWANOA WATAALAM WA AFYA,WAZEE WA KIMILA VITA YA CORONA.


Msimamizi wa miradi Shirika la Oxfam Tanzania kanda ya kaskazini Donath Fungu akiendesha mafunzo ya kuwajengea uelewa washiriki kutoka wilaya ya Hanang',Babati,na maafisa sekta ya afya mkoa wa Manyara dhidi ya athari za virusi vya corona na namna ya kujikinga

Washiriki wakiwa kwenye mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uelewa dhidi ya athari za virusi vya Corona na namna ya kujikinga ikihusishwa na maswala ya kijinsia na kazi za nyumbani yaliyoandaliwa na shirika la Oxfam Tanzania
Afisa...

 

10 years ago

Mtanzania

Wazee wamzawadia Lowassa ng’ombe

EdwardLowassaNa John Maduhu, Mwanza
BARAZA la wazee Wilaya ya Nyamagana na Ilemela jijini Mwanza, limempatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ng’ombe wawili ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono katika harakati zake za kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), muda ukifika.
Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa, wakati wa kupokea mrejesho wa Umoja wa Shirika la Machinga Mwanza(SHIUMA), waliokwenda wilayani Monduli, mkoani Arusha kumshawishi Lowassa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wazee watazuia mafuriko Lowassa na kuliokoa taifa?

KUNA msemo kuwa; “Penye wazee haliharibiki neno”.

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

Vijimambo

PAZI REUNION IKIENDELEA SASA HIVI HOUSTON, TEXAS TIMU YA VIJANA NA WAZEE

 Timu ya Wazee Timu ya Vijana Vitalis Gunda moja ya waratibu wa tamasha hili la Pazi Reunion akitoa shukurani zake kwa wenyeji Houston kwa jitihada zao na hatimae kufanikisha tukio hili la historia. Wachezaji wapand zote mbili wakicheza mchezo wa kikapu kwenye tamasha la Pazi Reunion linaloendelea sasa hizi ndani ya kiwanja cha mpira wa kikapu cha Pilgrim kilichopo 8601 Chimmey Rock Rd, Houston, TX 77096Mchezaji wa zamani wa Pazi Willy Crrusa (mwenye mpira) akijaribu kumhadaa Nelson Malai...

 

10 years ago

GPL

TBC KUONESHA LIVE JK AKIONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA‏

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Profesa Jakaya Mrisho Kikwete mchana huu ataanza kuzungumza na Wazee wa Dodoma  katika ukumbi wa Kilimani mjini Dodoma wakati wowote kuanzaia sasa. Usikose kuangalia mazungumzo hayo yatayooneshwa moja kwa moja na TBC One pamoja na mtandao wa www.ikulu.go.tz IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA RAIS IKULU, NOVEMBA 4, 2014 ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani