Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa
>Wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimaasai (Malaigwanan) kutoka Wilaya ya Monduli wamemuomba waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kubaki na kuendelea kuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa sababu ndicho kilichomlea na anakijua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Wazee wa kimila wawatisha waliofukuliwa Nyangalata
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Wawakilishi wa mabaraza ya wazee wa kimila wa Kimasai wakutana na Kinana
-Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
-Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
-Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s72-c/7.jpg)
WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA
Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi
Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXAD70ogo08/VJB_RQ3tXoI/AAAAAAAAU58/RRTPRbb0EC0/s1600/8.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jul
WAZEE WA KIMILA NA WAKIDINI WAASWA KUKAA NA VIJANA KUEPUKA MAOVU
![a.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/3qSbDCMGNZ5h5NYLgCih5zvRwUQxXGb9LfeT86CmSIZr5qvyChXgj-O18cr_mB4uboHPbtedfgR30nlXmJxneIX_XWgapD97TQrlMg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/a3.jpg)
![b.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/i03CuCQY9QHwROelaZIZGjMI6EakNS-mEd7kJloh7qxB9i68JXInmPcsdDenucPrq5DXf3CvSNuqQ4lGGhD6KI6tzyIfeSLcmSsvpA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/b2.jpg)
Waandishi wa habari wakiwa kazini
KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda amewataka wazee wa kimila (malwaigwanan), viongozi wa dini pamoja na wazazi kutumia muda wa ziada kukaa na vijana wao na kukemea kuacha mara moja kutumiwa katika vitendo viovu vinavyoendelea mkoani hapa.
Alisema kuwa ,...
5 years ago
MichuziOXFAM TANZANIA YAWANOA WATAALAM WA AFYA,WAZEE WA KIMILA VITA YA CORONA.
Msimamizi wa miradi Shirika la Oxfam Tanzania kanda ya kaskazini Donath Fungu akiendesha mafunzo ya kuwajengea uelewa washiriki kutoka wilaya ya Hanang',Babati,na maafisa sekta ya afya mkoa wa Manyara dhidi ya athari za virusi vya corona na namna ya kujikinga
Washiriki wakiwa kwenye mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uelewa dhidi ya athari za virusi vya Corona na namna ya kujikinga ikihusishwa na maswala ya kijinsia na kazi za nyumbani yaliyoandaliwa na shirika la Oxfam Tanzania
Afisa...
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Wazee wamzawadia Lowassa ng’ombe
Na John Maduhu, Mwanza
BARAZA la wazee Wilaya ya Nyamagana na Ilemela jijini Mwanza, limempatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ng’ombe wawili ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono katika harakati zake za kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), muda ukifika.
Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa, wakati wa kupokea mrejesho wa Umoja wa Shirika la Machinga Mwanza(SHIUMA), waliokwenda wilayani Monduli, mkoani Arusha kumshawishi Lowassa...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Wazee watazuia mafuriko Lowassa na kuliokoa taifa?
KUNA msemo kuwa; “Penye wazee haliharibiki neno”.
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
VijimamboPAZI REUNION IKIENDELEA SASA HIVI HOUSTON, TEXAS TIMU YA VIJANA NA WAZEE
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ssMoq4f1XWg/VFiTJ-h5QRI/AAAAAAAGvXo/767h10faOA4/s1600/0L7C3835.jpg?width=650)
TBC KUONESHA LIVE JK AKIONGEA NA WAZEE WA DODOMA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA