Wazee wa kimila wawatisha waliofukuliwa Nyangalata
Wazee wa kimila wa makabila ya Wakurya na Waluo wamesema watu watano waliookolewa kutoka kwenye machimbo ya Nyangalata, Kahama ambao waliwekewa matanga kabla ya kuibuka wanatakiwa kufanyiwa mambo ya kimila, vinginevyo watakufa kiajabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Jul
Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
Wawakilishi wa mabaraza ya wazee wa kimila wa Kimasai wakutana na Kinana
-Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
-Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
-Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
Diwani wa Viti Maalum Ngorongoro Tina Timan akizungumza wakati wa mkutano na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alitaka mamlaka husika kubadili sheria kandamizi ili jamii ya Wamasai wafaidike na ardhi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s72-c/7.jpg)
WAWAKILISHI WA MABARAZA YA WAZEE WA KIMILA WAKIMASAI WAKUTANA NA KINANA
Wataka wafugaji wamilikishwe ardhi
Waitaka serikali kuboresha maisha ya wafugaji
Wataka wazawa wapewe kipaumbele zaidi
Watoa salaam kwa Rais ,wampa pole na wamshukuru kwa kutimiza ahadi yake ya kuwapa mifugo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Aly20jSjwM4/VJB_Q2BsolI/AAAAAAAAU54/ZdWQBz5RWQc/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXAD70ogo08/VJB_RQ3tXoI/AAAAAAAAU58/RRTPRbb0EC0/s1600/8.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jul
WAZEE WA KIMILA NA WAKIDINI WAASWA KUKAA NA VIJANA KUEPUKA MAOVU
![a.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/3qSbDCMGNZ5h5NYLgCih5zvRwUQxXGb9LfeT86CmSIZr5qvyChXgj-O18cr_mB4uboHPbtedfgR30nlXmJxneIX_XWgapD97TQrlMg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/a3.jpg)
![b.](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/i03CuCQY9QHwROelaZIZGjMI6EakNS-mEd7kJloh7qxB9i68JXInmPcsdDenucPrq5DXf3CvSNuqQ4lGGhD6KI6tzyIfeSLcmSsvpA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/b2.jpg)
Waandishi wa habari wakiwa kazini
KATIBU mkuu wa umoja wa vijana ccm (UVCCM) Taifa , Sixtus Mapunda amewataka wazee wa kimila (malwaigwanan), viongozi wa dini pamoja na wazazi kutumia muda wa ziada kukaa na vijana wao na kukemea kuacha mara moja kutumiwa katika vitendo viovu vinavyoendelea mkoani hapa.
Alisema kuwa ,...
5 years ago
MichuziOXFAM TANZANIA YAWANOA WATAALAM WA AFYA,WAZEE WA KIMILA VITA YA CORONA.
Msimamizi wa miradi Shirika la Oxfam Tanzania kanda ya kaskazini Donath Fungu akiendesha mafunzo ya kuwajengea uelewa washiriki kutoka wilaya ya Hanang',Babati,na maafisa sekta ya afya mkoa wa Manyara dhidi ya athari za virusi vya corona na namna ya kujikinga
Washiriki wakiwa kwenye mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uelewa dhidi ya athari za virusi vya Corona na namna ya kujikinga ikihusishwa na maswala ya kijinsia na kazi za nyumbani yaliyoandaliwa na shirika la Oxfam Tanzania
Afisa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Ushoga wawatisha wajumbe wa Katiba
WAKATI Rais wa Uganda , Yoweri Museveni, akikataa nchi hiyo kuruhusu mapenzi ya jinsia moja, Bunge Maalumu la Katiba jana lilitawaliwa na mjadala huo. Aliyeliibua mjadala huo ni Asha Bakari...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXtK1m05VfZa9b-VNYUU1fGvOKbj79-8WCbwi5Nvhj3NvblU9SjfIYWRL4U2rM0p1650I8ATsMzU75m5uLDKBhJG/mashabikiyanga.gif?width=650)
Mashabiki wawatisha Yanga, wahofia kushuka kwenye gari
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Simulizi ya wachimbaji walivyookolewa Nyangalata
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Waliookolewa Nyangalata wakataliwa kwenda Bugando