Simulizi ya wachimbaji walivyookolewa Nyangalata
Mmoja wa watu waliokuwa kuwa wakifanya kazi ya kuwaokoa wachimbaji wa madini walionusurika kufa baada ya kuporomoka kifusi kwenye machimbo ya Nyangalata Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga na kuishi kwa siku 41, Mohamed Churi amesema ilikuwa kazi ngumu kuwatoa kutokana na mazingira yalivyokuwa hatarishi kwa maisha yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Mchimbaji aliyenusurika mgodini Nyangalata afariki
Mmoja wa wachimbaji wadogo watano waliookolewa baada ya kufunikwa na kifusi mgodini kwa siku 41 wilayani Kahama, amefariki dunia kwa kile ambacho madaktari wameeleza kuwa ni athari za chakula walichokuwa wakila.
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Wazee wa kimila wawatisha waliofukuliwa Nyangalata
Wazee wa kimila wa makabila ya Wakurya na Waluo wamesema watu watano waliookolewa kutoka kwenye machimbo ya Nyangalata, Kahama ambao waliwekewa matanga kabla ya kuibuka wanatakiwa kufanyiwa mambo ya kimila, vinginevyo watakufa kiajabu.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Waliookolewa Nyangalata wakataliwa kwenda Bugando
Wakati wachimbaji dhahabu waliokuwa wamefukiwa kwenye machimbo ya Nyangalata, Msalala na kuokolewa baada ya siku 41 wakiomba kuhamishiwa Hospitali ya Rufani ya Bugando (BMC) Mwanza, Serikali imesema wataendelea kutibiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Kahama.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Juhudi za kuwaokoa waliokufa mgodini Nyangalata zakwama
Jitihada za kuwafukua wachimbaji saba waliokufa katika mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama zimegonga mwamba baada ya Serikali kudai shughuli ya kuwatoa itachukua miezi miwili.
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Taharuki yaibuka machimbo ya Nyangalata, waliofukiwa wadaiwa kuwa hai
Wachimbaji wadogo wa madini katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, wameingiwa na hofu baada ya uvumi kwamba wenzao sita kati ya saba waliofukiwa na kifusi siku 42 zilizopita bado wapo hai.
9 years ago
MichuziSerikali yaahidi kuwapatia vipimo zaidi wahanga wa mgodi wa Nyangalata
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo amewaagiza Madaktari wa Hospitali ya Wilaya ya Kahama kuandaa utaratibu wa kuwawezesha wahanga wa Mgodi wa Nyangalata kwenda Hospitali za rufaa kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa afya zao.
Mhandisi Chambo aliyasema hayo alipowatembelea wahanga hao waliolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kutokana na ajali ya kufukiwa na kifusi na kufanikiwa kuokolewa baada ya kuishi chini ya ardhi kwa...
10 years ago
GPL
SIMULIZI YA NATASHA - 8
ILIPOISHIA
WIKI iliyopita tuliishia pale nilipokuwa namjibu mwanangu Monalisa kwamba nilimuokota kwenye kopo la maua. Huo ni utani ambao nautumia hadi leo katika Kipindi cha Filamonata cha Radio Times kila Jumapili, saa tano asubuhi.ENDELEA Siku isiyo na jina nikiwa Angola, usiku niliamshwa na mwanga mkubwa ulioingia chumbani kwangu ingawa nilizima taa, nikashituka na kufungua macho nikaona kweli mwanga uking’aa...
10 years ago
GPL
SIMULIZI YA NATASHA - 6
ILIPOISHIA
Wiki iliyopita tuliishia pale nilipoeleza kwamba nilishangazwa na kitendo cha kuona wanawake wengi wanavaa nguo nyeusi nchini Angola…ENDELEA NiLIambiwa waliokuwa wanavaa vile walifiwa na waume zao vitani.
“Mungu wangu mbona wengi!†nilishtuka.Katika kundi la wanawake kumi, saba wote wamefiwa!
Kingine niliona vijana wengi wakiwa wamekatwa ama miguu ama mikono! Kuuliza kisa eti ni vita!...
10 years ago
GPL
SIMULIZI YA NATASHA - 5
WIKI iliyopita tuliishia pale tulipofika rasmi nchini Angola. Tulikuwa tukiifikiria tofauti nchi hiyo tukiamini kwamba ni nchi isiyokuwa na amani.
SASA ENDELEA… Sasa nakupa mtazamo wangu nilipofika Luanda, ambao ni mji mkuu wa Angola. Kwanza ni amani tupu wala huwezi jua kama kuna mtu anatumia risasi mahali fulani ili aishi.Rais ni Eduardo dos Santos, ni nchi nzuri iliyotawaliwa na majengo mengi ya ghorofa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania