Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliookolewa Nyangalata wakataliwa kwenda Bugando

Wakati wachimbaji dhahabu waliokuwa wamefukiwa kwenye machimbo ya Nyangalata, Msalala na kuokolewa baada ya siku 41 wakiomba kuhamishiwa Hospitali ya Rufani ya Bugando (BMC) Mwanza, Serikali imesema wataendelea kutibiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Kahama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mali za waliookolewa zilirithiwa

Hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Msiba wa kwanza uliowapata wachimbaji watano wa madini katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, Shinyanga ulikuwa wa kufukiwa na kifusi na kuishi shimoni kwa shida kwa siku 41, lakini msiba wa pili baada ya kuokolewa ni kukuta mali walizokuwa wanamiliki zimerithiwa.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa awatembelea wachimbaji waliookolewa

MTZ DAILY.indd  Lowassa awatembelea wachimbaji waliookolewa

Paul Kayanda na Elizabeth Maximillian, Kahama

ALIYEKUWA Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowasa amewatembelea wachimbaji wadogo wa mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama   ambao walifukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41 na kuwapa pole ya Sh milioni mbili.

Lowassa alifanya ziara hiyo siku moja baada ya mchimbaji mmoja, Onyiwa Kaiwao (55) kufariki dunia juzi kwa kushindwa kupumua baada ya  kutapika na sehemu ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Uraia pacha wakataliwa

Bunge

Bunge

Na mwandishi Wetu

RASIMU ya Katiba inayopendekezwa imezika rasmi suala la uraia pacha. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala kuhusu uraia pacha, huku Watanzania wanaoishi nje wakishinikiza kiwepo kipengele kwenye Katiba kinachoruhusu suala hilo.

Akiwasilisha rasimu hiyo jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, Andrew Chenge, alisema hakutakuwa na uraia pacha isipokuwa watu wenye asili ya Tanzania ambao hawana uraia watapewa hadhi maalumu.

“Kamati ya Uandishi ilifanya utafiti...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uhamisho wa Adebayor wakataliwa

Daniel Levy aliingilia kati ili kusitisha uhamisho wa mshambuliaji nyota Emmanuel Adebayor aliyetaka kujiunga na West Ham

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto waliookolewa wasahau majina yao

Takriban watoto 80 waliookolewa katika kambi ya kundi la Boko Haram nchini Cameroon hawawezi kukumbuka majina yao

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachimbaji migodi waliookolewa wakosa mali

Wachimbaji migodi waliookolewa baada ya kukaa chini ya ardhi siku 41 wanakabiliwa na kizungumkuti baada yao kugundua jamaa walirithi mali yao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wamisri wakataliwa kuingia Tripoli

Raia wa Misri wanasa uwanja wa ndege baada ya kukataliwa kuingia Tripoli, Libya, kwa sababu ya shutuma dhidi ya serikali yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasio na waume wakataliwa migahawani

Migahawa nchini Saudi Arabia imeagizwa kuondoa maelezo yanayowataka wanawake ambao hawana waume kuingia.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema utatumia viwanja vya Jangwani Jumamosi, wiki hii, kuzindua kampeni za urais licha ya kupokea barua toka Manispaa ya Ilala inayoeleza kuwa siku hiyo kuna watu watatumia eneo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani