Uhamisho wa Adebayor wakataliwa
Daniel Levy aliingilia kati ili kusitisha uhamisho wa mshambuliaji nyota Emmanuel Adebayor aliyetaka kujiunga na West Ham
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MBTZAla8n8zHIc*ttVdGy5N4E74bE4EUbHJLeNN1plWrLxkD8w9yPoaeK8B-wIN-EPcYHDNy1mxM0YNQuQDs1Ip/ADEBAYOR.jpg?width=550)
SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI
10 years ago
Mtanzania25 Sep
Uraia pacha wakataliwa
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na mwandishi Wetu
RASIMU ya Katiba inayopendekezwa imezika rasmi suala la uraia pacha. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na mjadala kuhusu uraia pacha, huku Watanzania wanaoishi nje wakishinikiza kiwepo kipengele kwenye Katiba kinachoruhusu suala hilo.
Akiwasilisha rasimu hiyo jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi wa Katiba, Andrew Chenge, alisema hakutakuwa na uraia pacha isipokuwa watu wenye asili ya Tanzania ambao hawana uraia watapewa hadhi maalumu.
“Kamati ya Uandishi ilifanya utafiti...
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Wamisri wakataliwa kuingia Tripoli
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Wasio na waume wakataliwa migahawani
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Ukawa wakataliwa Jangwani Jumamosi
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Mpango mpya wa mafao wakataliwa
NA RABIA BAKARI
BAADHI ya vyama vya wafanyakazi nchini, vimepinga mchakato wa serikali ulioanza wa mapendekezo ya kuimarisha Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, unaokwenda sambamba na mapendekezo ya kupunguza viwango vya sasa vya mafao kupitia Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA).
Vimesema mchakato huo unakiuka haki za wafanyakazi kwa kuwa muda mrefu wafanyakazi nchini wamekuwa wakilalamikia mapato madogo kutokana na kodi kubwa inayotozwa kwenye mishahara yao pamoja na...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Waliookolewa Nyangalata wakataliwa kwenda Bugando
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Uhamisho wa De Gea wakwama
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Uhamisho mkubwa msimu wa 2015/16