Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhamisho mkubwa msimu wa 2015/16

Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza Jumamosi hii huku klabu za Simba, Yanga na Azam zikiwa ndiyo zilizotumia gharama kubwa kwenye usajili katika msimu huu wa 2015/16.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL

Smalling-Vardy-Ozil-De-Bruyne

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.

Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.

Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;

Golikipa

Jack Butland -Stoke...

 

10 years ago

GPL

MSIMU WA KTMA 2015 WAZINDULIWA RASMI

Meneja Udhamini wa TBL, George Kavishe, akizungumzia moja ya vipengele vipya vilivyofanyiwa maboresho kwenye tuzo hizo.…

 

10 years ago

Mwananchi

Madaktari walivyojipanga msimu wa 2014/2015

Maumivu ya misuli, magoti na majeraha mbalimbali ni maradhi ambayo yamekuwa yakiwaandama wachezaji wa soka kwa nyakati tofauti, achilia mbali Ulaya. 

 

9 years ago

Michuzi

Msimu wa BBC wa Wanawake 100 wawadia 2015

Msimu huu tutauliza iwapo habari zinazoangaziwa na mashirika ya habari zinawadhalilisha wanawake au la, tujadili pia shinikizo za kutakiwa kuwa ‘msichana mzuri’, pamoja na kutoa orodha ya kila mwaka ya ‘Wanawake 100’ huu ukiwa ndio mwaka wa tatu kufanya hivyo.
Msimu wa BBC wa Wanawake 100 utarejea mwezi huu, ukiangazia maisha ya wanawake maeneo mbalimbali duniani. Mradi wa Wanawake 100 ulizinduliwa 2013 na kuanzisha ahadi ya BBC ya kuwakilisha wanawake vyema kwenye habari zake kimataifa. Sasa...

 

10 years ago

Africanjam.Com

JEZI MPYA YA ARSENAL MSIMU UJAO 2015/16


Kwa wale wanaojiuliza ni lini Arsenal watatoa jezi zao mpya za Puma kwa ajili ya msimu wa 2015/2016, jibu hili hapa. Jezi za nyumbani za Arsenal zitakazotumika msimu ujao wa 2015/2016 zimevuja….hivyo mashabiki wa London na duniani kote wajiandae kupata mzigo mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

Viwanja vya Ligi Kuu Bara msimu wa 2015/16

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/16 inaanza mwishoni mwa wiki hii Septemba 12 na itashirikisha timu 16 zitakazokuwa zimetoka mikoa tisa tofauti huku zikicheza kwenye viwanja 13 tofauti.

 

9 years ago

Mwananchi

MSIMU WA 2015/16 : Nyota wa kuwaangalia Ligi Kuu Bara

Msimu mpya wa Ligi Kuu Bara unaanza Jumamosi hii huku wadau wengi wa soka wakitaka kuona ni timu gani itafanya vizuri na kutwaa ubingwa kutokana na maandalizi iliyofanya.

 

10 years ago

Africanjam.Com

JEZI MPYA YA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO 2015/16

Imekuwa utamaduni wa klabu mbalimbali barani ulaya kuzindua jezi mpya kila msimu ambapo jezi hizi huingia sokoni na kuuzwa kwa mashabiki wa klabu husika huku klabu hiyo ikijiingizia kipato ambacho husaidia kwenye uendeshaji wa shughuli zake .Manchester United inatarajiwa kuzindua jezi mpya siku za hivi karibuni ambapo zitakuwa jezi ambazo zimetengenezwa na mdhamini mpya wa klabu hii ambaye ni Adidas . Adidas wameingia mkataba na United baada ya klabu hiyo kumaliza mkataba wake wa muda mrefu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani