Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msimu wa BBC wa Wanawake 100 wawadia 2015

Msimu huu tutauliza iwapo habari zinazoangaziwa na mashirika ya habari zinawadhalilisha wanawake au la, tujadili pia shinikizo za kutakiwa kuwa ‘msichana mzuri’, pamoja na kutoa orodha ya kila mwaka ya ‘Wanawake 100’ huu ukiwa ndio mwaka wa tatu kufanya hivyo.
Msimu wa BBC wa Wanawake 100 utarejea mwezi huu, ukiangazia maisha ya wanawake maeneo mbalimbali duniani. Mradi wa Wanawake 100 ulizinduliwa 2013 na kuanzisha ahadi ya BBC ya kuwakilisha wanawake vyema kwenye habari zake kimataifa. Sasa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake 100 wa BBC 2015: Nani wenye msukumo zaidi?

Wanawake 100 wenye msukumo duniani mwaka wa 2015 wameorodheshwa na BBC huku msimu wa kuangazia wanawake uking'oa nanga tena.

 

9 years ago

Michuzi

The BBC hosts debates throughout Africa as part of the 100 Women season More than 100 conversations across the world will discuss what it means to be a “good girl” or an “ideal woman”

On 1st December, BBC 100 Women – a season dedicated to shining a light on women’s lives around the world –will bring together a series of debates from across the globe, to be broadcast live on television on BBC World News, on Radio on the BBC World Service and online on bbc.com.
The BBC will host debates throughout the day at BBC Broadcasting House in London, while more than 100 conversations will happen across the globe in eight languages. In Africa, many groups across the continent will...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity kutumia pauni milioni 100 msimu huu

Manchester City wanatarajiwa kutumia pauni milioni 100 ili kuwasajli wachezaji wapya msimu huu baada ya vikwazo walivyowekewa kuhusu ununuzi wa wachezaji kuondolewa na UEFA.

 

5 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zaiandikia FA juu ya kuahirishwa kwa msimu

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zatuma barua kwa FA, na kutoa wito wa kutaka ifikirie tena umauzi wake wa kuahirisha msimu

 

9 years ago

Dewji Blog

Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL

Smalling-Vardy-Ozil-De-Bruyne

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.

Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.

Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;

Golikipa

Jack Butland -Stoke...

 

10 years ago

GPL

MSIMU WA SIKUKUU ROHO MKONONI MABASI YATEKWA, WANAWAKE WABAKWA

Stori  Mwandishi Wetu, Mwanza
Roho mkononi! Jumla ya magari saba yakiwemo mabasi mawili yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Mwanza, yametekwa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi ya wiki iliyopita, saa 6:30 usiku eneo la Ng’ungumalwa mkoani Mwanza. Polisi wakiwa eneo la tukio. Miongoni mwa magari yaliyotekwa, mawili yalikuwa ni mabasi ya abiria, Super Najmnisa na Princess...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake Tanzania wazungumza na BBC

BBC itafanya mjadala maalum unaohusu wanawake mia moja kutoka sehemu mbali mbali nchini Tanzania

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 5 kupigania taji la soka la BBC

Mshindi wa taji hilo atatangazwa mnamo mwezi May.

 

9 years ago

Mwananchi

Uhamisho mkubwa msimu wa 2015/16

Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza Jumamosi hii huku klabu za Simba, Yanga na Azam zikiwa ndiyo zilizotumia gharama kubwa kwenye usajili katika msimu huu wa 2015/16.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani