Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zaiandikia FA juu ya kuahirishwa kwa msimu

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zatuma barua kwa FA, na kutoa wito wa kutaka ifikirie tena umauzi wake wa kuahirisha msimu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.

Mgambo JKT.
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.


Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.


Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.

Kikosi cha Prison.

Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu ipi maarufu zaidi Afrika ligi ya England?

Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, Ligi Kuu ya England ndio sasa basi, ndio mwisho wa kila kitu, ndio eneo lao la maabadi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni 128 zatolewa kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu na Umeme

2

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakisaini hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa barabara za juu kwa juu katika makutano ya TAZARA na usambazaji umeme jijini Dar es salaam leo zenye thamani ya zaidi ya bilioni 128.

1

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati ya makubaliano ya mikataba miwili ya ujenzi wa...

 

10 years ago

CloudsFM

Mashabiki wamemjia juu Aunty Ezekiel,kisa pombe, kuvaa nguo za kubana ambazo hazistahili kwa mjamzito.

Mashabiki wamemjua juu staa wa filamu za Kibongo,Aunty Ezekiel baada ya kupost picha kwenye mtandao wa Instagram akiwa ameshika chupa ya pombe na kuvaa nguo ambazo hazistahili kuvaa mama mjamzito. godfreymtenga Ila uangalie mavazi wakati wa ujauzito.hiyo kaptula hapana vaa vigauni

stakishobo19 Aunt my kama hako ni kabia achana nacho bwana usitusumbulie kababy ketu jamani vumilia kwanza

kiria_lazaro Umshka pombe, inamadhara kwa mtto in u fucking stomach


mariousmiley Anti naona unatumia...

 

10 years ago

Raia Mwema

TFF imejiandaaje kwa ligi msimu ujao?

WAKATI Ligi Kuu soka Tanzania Bara inafikia ukingoni msimu uliopita, yaliandikwa na kusemwa mengi

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mwananchi

Viwanja vitakavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu

Ligi Kuu msimu wa 2014/15 itaanza Septemba 20 na itashirikisha timu 14 zitakazopigwa kwenye viwanja kumi katika mikoa tofauti nchini.

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU‏ KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.  kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Uwanja wa Jamhuri kamili kwa Ligi Kuu msimu huu

Maandalizi ya mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 kati ya Mtibwa Sugar na Yanga SC yamekamilika mkoani hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani