Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu ipi maarufu zaidi Afrika ligi ya England?

Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, Ligi Kuu ya England ndio sasa basi, ndio mwisho wa kila kitu, ndio eneo lao la maabadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zaiandikia FA juu ya kuahirishwa kwa msimu

Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zatuma barua kwa FA, na kutoa wito wa kutaka ifikirie tena umauzi wake wa kuahirisha msimu

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Klabu za ligi ya Premia zimeamua kwamba zitaendelea na ligi hiyo lakini hazikutoa tarehe rasmi

Klabu za ligi ya Premia zimeamua kwamba zitaendelea na ligi hiyo lakini hazikutoa tarehe rasmi za kuendelea

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni ipi filamu bora zaidi ya 2013?

Filamu ''12 Years a Slave'', ni miongoni mwa filamu zinazopigiwa upatu kupata tuzo la filamu bora zaidi katika tamasha la filamu bora zaidi la Uingereza

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu za England hoi kimataifa

Jana usiku viwanja kadhaa viliwaka moto, katika michuano ya ligi ya Europa wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani katika hatua ya 16 bora.

 

10 years ago

GPL

WALIOTOKA NA KUINGIA KLABU KUBWA ENGLAND

ARSENAL
WALIOINGIA
Alexis Sanchez (Barcelona, Pauni Milioni 30), Calum Chambers (Southampton, Pauni Milioni 12), Mathieu Debuchy (Newcastle, Pauni Milioni 10), David Ospina (Nice, Pauni Milioni 3), Danny Welbeck (Manchester United, Pauni Milioni 16) WALIOONDOKA
Thomas Vermaelen (Barcelona, Pauni Milioni 15), Johan Djourou (Hamburg, dau halijatajwa), Thomas Eisfeld (Fulham, dau halijatajwa), Bacary Sagna (Manchester City,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.

Jurgen Klopp amechangia pakubwa katika ushindi wa Liverpool kwenye Ligi ya Primia.

 

10 years ago

Bongo Movies

Kati ya Picha Hizi Nne za Mzee Majuto Ipi ni Kali Zaidi?

PICHA ni kumbukumbu muhimu katika maisha, hufurahisha na kuburudisha na wakati mwingine uhudhunisha pia ilimradi tu maisha yanasonga mbele. Leo kutoka kwenye maktaba yetu ya picha, tumekutana hizi picha nne za mwigizaji nguli wa filamu za vichekesho hapa nchini, Amri Athuman'King Majuto' ukipenda muite Mzee Majuto alizopiga na waigizaji hawa wakike, Wema Sepetu, Riyama Ally,Kajala Masanja na Jackline Masawe “Wolper”.

Zote ni nzuri lakini wewe umeipenda ipi?

 

9 years ago

MillardAyo

Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu

December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri wa kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta amekiri kuwa katika harakati za mwisho za kwenda kucheza soka barani katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Samatta ambaye December 30 alikiri kuwa bado hajasaini na Genk kama inavyoripotiwa ila mambo yanaenda vizuri, […]

The post Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu appeared first on...

 

9 years ago

Mtanzania

Ronaldinho kutua Ligi ya England

RonaldinhoRIO DE JANEIRO, BRAZIL

NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Ronaldinho, anatarajia kutua nchini England kutokana na ofa anazopata.

Mchezaji huyo ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoondoka katika klabu yake ya Fluminense, amekuwa akitajwa na baadhi ya klabu nchini England ambapo kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji huyo kujiunga Februari mwaka huu.

Kaka wa mchezaji huyo ambaye ni wakala wake, Roberto, amesema hadi sasa amepokea ofa zaidi ya mbili kutoka England,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani