Klabu ipi maarufu zaidi Afrika ligi ya England?
Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, Ligi Kuu ya England ndio sasa basi, ndio mwisho wa kila kitu, ndio eneo lao la maabadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Zaidi ya klabu 100 ambazo hazipo kwenye ligi zaiandikia FA juu ya kuahirishwa kwa msimu
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Coronavirus: Klabu za ligi ya Premia zimeamua kwamba zitaendelea na ligi hiyo lakini hazikutoa tarehe rasmi
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Ni ipi filamu bora zaidi ya 2013?
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Klabu za England hoi kimataifa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZKjpPX9gtzWcBUj1oizMsIg4pU2nHFQxrh6i9ETppCErBBXx8f*U3TuyrXutvNfSRhj1wohEb0afTQlxh4XqL-d*HdMRwYxl/EPLPointsTable201314andTeamStandingsUpdatesOnline.jpg?width=650)
WALIOTOKA NA KUINGIA KLABU KUBWA ENGLAND
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
Kati ya Picha Hizi Nne za Mzee Majuto Ipi ni Kali Zaidi?
PICHA ni kumbukumbu muhimu katika maisha, hufurahisha na kuburudisha na wakati mwingine uhudhunisha pia ilimradi tu maisha yanasonga mbele. Leo kutoka kwenye maktaba yetu ya picha, tumekutana hizi picha nne za mwigizaji nguli wa filamu za vichekesho hapa nchini, Amri Athuman'King Majuto' ukipenda muite Mzee Majuto alizopiga na waigizaji hawa wakike, Wema Sepetu, Riyama Ally,Kajala Masanja na Jackline Masawe “Wolper”.
Zote ni nzuri lakini wewe umeipenda ipi?
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu
December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri wa kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta amekiri kuwa katika harakati za mwisho za kwenda kucheza soka barani katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Samatta ambaye December 30 alikiri kuwa bado hajasaini na Genk kama inavyoripotiwa ila mambo yanaenda vizuri, […]
The post Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu appeared first on...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Ronaldinho kutua Ligi ya England
RIO DE JANEIRO, BRAZIL
NYOTA wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil na klabu ya Barcelona, Ronaldinho, anatarajia kutua nchini England kutokana na ofa anazopata.
Mchezaji huyo ambaye kwa sasa yupo huru tangu alipoondoka katika klabu yake ya Fluminense, amekuwa akitajwa na baadhi ya klabu nchini England ambapo kuna uwezekano mkubwa wa mchezaji huyo kujiunga Februari mwaka huu.
Kaka wa mchezaji huyo ambaye ni wakala wake, Roberto, amesema hadi sasa amepokea ofa zaidi ya mbili kutoka England,...