Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALIOTOKA NA KUINGIA KLABU KUBWA ENGLAND

ARSENAL
WALIOINGIA
Alexis Sanchez (Barcelona, Pauni Milioni 30), Calum Chambers (Southampton, Pauni Milioni 12), Mathieu Debuchy (Newcastle, Pauni Milioni 10), David Ospina (Nice, Pauni Milioni 3), Danny Welbeck (Manchester United, Pauni Milioni 16) WALIOONDOKA
Thomas Vermaelen (Barcelona, Pauni Milioni 15), Johan Djourou (Hamburg, dau halijatajwa), Thomas Eisfeld (Fulham, dau halijatajwa), Bacary Sagna (Manchester City,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Klabu za England hoi kimataifa

Jana usiku viwanja kadhaa viliwaka moto, katika michuano ya ligi ya Europa wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani katika hatua ya 16 bora.

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu ipi maarufu zaidi Afrika ligi ya England?

Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, Ligi Kuu ya England ndio sasa basi, ndio mwisho wa kila kitu, ndio eneo lao la maabadi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Changamoto za Walemavu Ndiyo Sababu Kubwa ya Wastara Kuingia Kwenye Siasa

Naitwa Wastara Juma kama watanzania wenzengu mnavyonifahamu mimi ni muigizaji wa filamu na kazi nyingine zinazohusiana na kiwanda cha filamu. leo niongee kitu ili watanzania wenzangu muelewe kwanini nimeamua kujiingiza kwenye siasa, kikubwa kilichonisukuma kuingia kwenye siasa ni jambo moja kubwa sana kwangu ambalo ni (WALEMAVU) .

Huwezi kusimulia uchungu wa mwana wakati haujawahi kuzaa huwezi kumzunguzia au kumtetea mlemavu hali ya kuwa hujui uchungu, matatizo na maumivu yake,, Mpaka sasa...

 

11 years ago

GPL

LISTI YENYE KLABU ZENYE THAMANI KUBWA ULAYA, BAYERN KINARA, MADRID WANAFUATIA

MABADILIKO KATIKA LISTI HII NI KWAMBA MAN UNITED IMEPOROMOKA HADI NAFASI YA TATU IKITOKEA KILELENI, BAYERN IMEPANDA NA MADRID IMEBAKI ILIPO. LAKINI MAN CITY IMEONGEZA THAMANI NA KUINGIA TANO BORA WAKATI ENGLAND IMEENDELEA KUNG'ARA KWA KUWA NA TIMU 2 KWENYE TOP 5 NA TIMU TANO KWENYE TOP 10, INAFUATIWA NA HISPANIA NA UJERUMANI, KILA MOJA INA TIMU 2 NA UFARANSA YA MWISHO KWA KUWA NA TIMU MOJA. ITALIA AMBAO WALING'ARAZA ZAIDI MIAKA...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya matangazo ya Right Here nchini yapata mwekezaji mpya na kuingia ubia na kampuni kubwa ya kimataifa

Mshauri Mkuu wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Gerard Govaerts akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa mikutano katika Hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam leo, Kushoto ni Mkuu wa Hati Miliki wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Asnath Heriel na kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa RIGHT HERE TANZANIA Jenny Woodier.

Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahujaji waliotoka Kenya warejea nyumbani

Kundi la kwanza la mahujaji kutoka Kenya waliokuwa wameenda kuhiji Mecca limerejea Kenya, huku utata ukiendelea kuhusu idadi ya waliofariki katika mkanyagano.

 

11 years ago

Michuzi

Twanga kuwatambulisha waliotoka Extra Bongo na Malaika,Idd Mosi

Bendi ya African Stars’ Wana Twanga Pepeta, itawatambulisha rasmi wanenguaji wake watatu waliotoka bendi ya Extra Bongo na bendi ya Malaika siku ya Idd Mosi kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni.
Hayo yalisemwa na kiongozi wa bendi hiyo Luizer Mbutu kwnye mazoezi ya bendi hiyo yanaoyendelea kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jana. Mbutu aliwataja wanenguaji hao kuwa ni Maria Soloma, Sabrina Mathew na Isaack Burhani maarufu kwa jina la Danger Boy. Mnenguaji aliyetokea bendi ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani