LISTI YENYE KLABU ZENYE THAMANI KUBWA ULAYA, BAYERN KINARA, MADRID WANAFUATIA
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pOpKmpXVAkJN9YBGmsG8Z5HJ-QRmTGFXva4r06l8LMt3UQmT0U9KnFUmXE6Gcz6-eo5QsoYlLmAmxG0KbuO7r*/TAJIRI.jpg?width=650)
MABADILIKO KATIKA LISTI HII NI KWAMBA MAN UNITED IMEPOROMOKA HADI NAFASI YA TATU IKITOKEA KILELENI, BAYERN IMEPANDA NA MADRID IMEBAKI ILIPO. LAKINI MAN CITY IMEONGEZA THAMANI NA KUINGIA TANO BORA WAKATI ENGLAND IMEENDELEA KUNG'ARA KWA KUWA NA TIMU 2 KWENYE TOP 5 NA TIMU TANO KWENYE TOP 10, INAFUATIWA NA HISPANIA NA UJERUMANI, KILA MOJA INA TIMU 2 NA UFARANSA YA MWISHO KWA KUWA NA TIMU MOJA. ITALIA AMBAO WALING'ARAZA ZAIDI MIAKA...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzouHft6DqyDGNZI1eXhWnxTXEmEmbgNfeMStbnt2t1RXlQw*c7QDN0jH-o9aKt2n0RSmShI8Ql9KlV3W3-sFQhl/mahaba.jpg?width=650)
MAMBO MADOGO YENYE THAMANI KUBWA KWENYE MAPENZI!-2
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
Real Madrid kidedea klabu Bingwa Ulaya.
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Droo ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yafanyika, listi kamili hii hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), imefanyika katika makao makuu ya Chama cha soka Ulaya Nyon, Switzerland na mtandao wako bora wa habari, Dewjiblog.com umekuandalia listi kamili ya michezo ambayo imepangwa katika droo hiyo;
Gent – Wolfsburg
AS Roma – Real Madrid
Paris Saint-German – Chelsea
Arsenal – Barcelona
Juventus – Bayern Munich
PSV – Atletico Madrid
Benfica – Zenit
Dynamo Kyiv – Manchester City
Baada ya kufanyika kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s72-c/A%2B1.jpg)
NANI KWENDA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA LEO, NI BINGWA MTETEZI REAL MADRID AU ATLETICO MADRID
![](http://3.bp.blogspot.com/--MeDKWNmFFA/VTeVpbsP0bI/AAAAAAAA7R4/iK3NDHWLNKc/s1600/A%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAhM32ouThs/VTeVo6yvC8I/AAAAAAAA7R0/43qXR-ySkGg/s1600/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OKmlPzhIu6E/VTeVpfjbT8I/AAAAAAAA7SA/tbFbvj5FhsU/s1600/A%2B3.jpg)
Robo fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya...
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
Klabu bingwa ya dunia ni Raja au Bayern?
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s72-c/_77757295_manutd_getty.jpg)
ORODHA YA CLUB 50 ZENYE THAMANI ZAIDI DUNIANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lglt9kagrx0/VXXvHqP8MEI/AAAAAAAAB_A/T0FD7cf4Lek/s400/_77757295_manutd_getty.jpg)
Thamani ya United imeongezeka maradufu kutokana na mikataba kadhaa ya udhamini na biashara ambayo imekuwa ikiingia kila mara chini ya uongozi wa Mkurugenzi wa klabu hiyo Ed Woodward.
Chini ya uongozi wake thamani ya United imekuwa kubwa hali ambayo imefanya timu...