Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Droo ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yafanyika, listi kamili hii hapa

IMG_20151214_145227

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), imefanyika katika makao makuu ya Chama cha soka Ulaya Nyon, Switzerland na mtandao wako bora wa habari, Dewjiblog.com umekuandalia listi kamili ya michezo ambayo imepangwa katika droo hiyo;

Gent – Wolfsburg

AS Roma – Real Madrid

Paris Saint-German – Chelsea

Arsenal – Barcelona

Juventus – Bayern Munich

PSV – Atletico Madrid

Benfica – Zenit

Dynamo Kyiv – Manchester City

Baada ya kufanyika kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo

Champions-League

Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;

GROUP A;

Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German  

Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo  

GROUP B;

Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow

PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg     

GROUP C;

FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid  

Benfica 2 – 1 Galatasaray   

GROUP D;

Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus 

Sevilla 1 – 3 Manchester City 

Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA! michezo ya jana

gareth-bale-shakhtar-donetsk-real-madrid-champions-league_173pi72jkl69m1b0s8rwmfilt5

Wachaji wa shakhtar donetsk na Real-Madrid  wakichuana katika mchezo huo uliomalizika kwa Madrid kushinda bao 4-3.

Baada ya michezo 8 iliyochezwa siku ya jumanne, jana jumatano ligi ya Mabingwa Ulaya kwa vilabu maarufu kama UEFA Champion League iliendea kwa michezo 8 mingine.

Haya ndiyo matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA kwa michezo ya jumatano

GROUP: A

Shakhtar Donetsk 3 – 4 Real Madrid

Malmo 0 – 5 Paris Saint German

GROUP: B

Manchester United 0 – 0 PSV

CSKA Moscow 0 – 2 Wolfsburg

 

9 years ago

Dewji Blog

Hatua ya Makundi UEFA yakamilika, hii ndiyo listi ya timu zilizofuzu hatua ya 16 bora

2F3824FE00000578-3353037-image-a-25_1449700421460

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA imekamilika usiku wa jumatano kwa kupatikana timu nyingine 8 ambazo zitaungana na timu 8 zilizofuzu jumanne kuingia katika hatua ya 16 bora.

Timu ambazo zimefuzu kuingia hatua ya 16 bora ni;

GROUP A;

Real Madrid

Paris Saint-German

GROUP B;

Wolfsburg

PSV Eindhoven

GROUP C;

Atletico Madrid

Benfica

GROUP D;

Manchester City

Juventus

GROUP E;

Barcelona

Roma

GROUP F;

Bayern Munich

Arsenal

GROUP G;

Chelsea

Dynamo Kyiv

GROUP H;

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo ya michezo ya ligi ya mabingwa Ulaya UEFA iliyochezwa jana Jumatano Novemba, 4

Champions League

GROUP E

Barcelona 3 – 0 Bate Borisov    

AS Roma 3 – 2 Bayer Leverkusen       

GROUP F

Bayern Munich 5 – 1 Arsenal      

Olympiakos 2– 1 Dinamo Zagreb        

GROUP G

Chelsea 2 – 1 Dynamo Kyiv       

Maccabi Tel Aviv 1 – 3 FC Porto          

GROUP H

Gent 1 –  0 Valencia                  

Lyon 0 –  2 Zenit St....

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA

uefa_champions_league-wallpaper-1440x1080

GROUP: E

BATE Borisov – Bayer Leverkusen   20:00 EAT

Barcelona – Roma  22:45 EAT

GROUP: F

Arsenal – Dinamo Zagreb  22:45 EAT

Bayern Munich – Olympiakos  22:45 EAT

GROUP: G

Porto – Dynamo Kyiv  22:45 EAT

Maccabi Tel Aviv – Chelsea  22:45 EAT

GROUP: H

Zenit St. Petersburg – Valencia  20:00 EAT

Lyon – Gent  22:45 EAT

 

9 years ago

Dewji Blog

Klopp akipigia mahesabu kikosi chake kufuzu kucheza ligi ya mabingwa Ulaya UEFA 2016!

klo

Klopp..

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Liverpool, Judgen Klopp amesema ana wakati mgumu kuhakikisha anaipeleka timu yake ya Liverpool kucheza ligi ya mabingwa Ulaya UEFA baada ya kuiangushia kichapo cha mabao 4-1, timu ya Manchester City.

Kwa mujibu Chanzo cha mtandao wa Espnfc.com  Kocha Klopp amefunguka juu ya kikosi chake  hicho kilichong’ara kwenye mchezo huo wa mwishoni mwa wiki   ambapo ameeleza atahakikisha kila mchezo wanaocheza wanapata ushindi ili wazidi kujitengenezea wakati...

 

10 years ago

Mwananchi

Man City wapewa Barca 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya

Nyon, Uswisi. Droo ya hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepangwa jana huku Manchester City wakikutana na Barcelona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani