Droo ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yafanyika, listi kamili hii hapa
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Droo ya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), imefanyika katika makao makuu ya Chama cha soka Ulaya Nyon, Switzerland na mtandao wako bora wa habari, Dewjiblog.com umekuandalia listi kamili ya michezo ambayo imepangwa katika droo hiyo;
Gent – Wolfsburg
AS Roma – Real Madrid
Paris Saint-German – Chelsea
Arsenal – Barcelona
Juventus – Bayern Munich
PSV – Atletico Madrid
Benfica – Zenit
Dynamo Kyiv – Manchester City
Baada ya kufanyika kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;
GROUP A;
Ufaransa
Romania
Albania
Switzerland
GROUP B;
Uingereza
Urusi
Wales
Slovakia
GROUP C;
Ujerumani
Ukraine
Poland
Northern Ireland
GROUP D;
Hispania
Jamhuri ya Czech
Uturuki
Croatia
GROUP E;
Belgium
Italia
Jamhuri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLqimPyh0B7f0yJAvlksVjqLU8VD3s8Ek6sIOInzH9vMHRUFZx9Jq3qXb0oPVcKaRAMFA4cqgM-GMuz-zWqsYPS3/2225343_w2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA na ratiba ya leo
Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea jana kwa michezo nane (8) iliyopigwa katika viwanja nane tofauti. Yafuatayo ni matokeo ya michezo hiyo;
GROUP A;
Real Madrid 1 – 0 Paris Saint-German
Shakhtar Donetsk 4 – 0 Malmo
GROUP B;
Manchester United 1 – 0 CSKA Moscow
PSV Eindhoven 2 – 0 Wolfsburg
GROUP C;
FC Astana 0 – 0 Atletico Madrid
Benfica 2 – 1 Galatasaray
GROUP D;
Borussia Moenchengladbach 1 – 1 Juventus
Sevilla 1 – 3 Manchester City
Ratiba ya michezo ya Ligi ya Mabingwa...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA! michezo ya jana
Wachaji wa shakhtar donetsk na Real-Madrid wakichuana katika mchezo huo uliomalizika kwa Madrid kushinda bao 4-3.
Baada ya michezo 8 iliyochezwa siku ya jumanne, jana jumatano ligi ya Mabingwa Ulaya kwa vilabu maarufu kama UEFA Champion League iliendea kwa michezo 8 mingine.
Haya ndiyo matokeo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA kwa michezo ya jumatano
GROUP: A
Shakhtar Donetsk 3 – 4 Real Madrid
Malmo 0 – 5 Paris Saint German
GROUP: B
Manchester United 0 – 0 PSV
CSKA Moscow 0 – 2 Wolfsburg
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Hatua ya Makundi UEFA yakamilika, hii ndiyo listi ya timu zilizofuzu hatua ya 16 bora
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA imekamilika usiku wa jumatano kwa kupatikana timu nyingine 8 ambazo zitaungana na timu 8 zilizofuzu jumanne kuingia katika hatua ya 16 bora.
Timu ambazo zimefuzu kuingia hatua ya 16 bora ni;
GROUP A;
Real Madrid
Paris Saint-German
GROUP B;
Wolfsburg
PSV Eindhoven
GROUP C;
Atletico Madrid
Benfica
GROUP D;
Manchester City
Juventus
GROUP E;
Barcelona
Roma
GROUP F;
Bayern Munich
Arsenal
GROUP G;
Chelsea
Dynamo Kyiv
GROUP H;
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Matokeo ya michezo ya ligi ya mabingwa Ulaya UEFA iliyochezwa jana Jumatano Novemba, 4
GROUP E
Barcelona 3 – 0 Bate Borisov
AS Roma 3 – 2 Bayer Leverkusen
GROUP F
Bayern Munich 5 – 1 Arsenal
Olympiakos 2– 1 Dinamo Zagreb
GROUP G
Chelsea 2 – 1 Dynamo Kyiv
Maccabi Tel Aviv 1 – 3 FC Porto
GROUP H
Gent 1 – 0 Valencia
Lyon 0 – 2 Zenit St....
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Ratiba ya michezo ya leo jumanne Novemba 24 katika ligi ya mabingwa Ulaya UEFA
GROUP: E
BATE Borisov – Bayer Leverkusen 20:00 EAT
Barcelona – Roma 22:45 EAT
GROUP: F
Arsenal – Dinamo Zagreb 22:45 EAT
Bayern Munich – Olympiakos 22:45 EAT
GROUP: G
Porto – Dynamo Kyiv 22:45 EAT
Maccabi Tel Aviv – Chelsea 22:45 EAT
GROUP: H
Zenit St. Petersburg – Valencia 20:00 EAT
Lyon – Gent 22:45 EAT
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Klopp akipigia mahesabu kikosi chake kufuzu kucheza ligi ya mabingwa Ulaya UEFA 2016!
Klopp..
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa Liverpool, Judgen Klopp amesema ana wakati mgumu kuhakikisha anaipeleka timu yake ya Liverpool kucheza ligi ya mabingwa Ulaya UEFA baada ya kuiangushia kichapo cha mabao 4-1, timu ya Manchester City.
Kwa mujibu Chanzo cha mtandao wa Espnfc.com Kocha Klopp amefunguka juu ya kikosi chake hicho kilichong’ara kwenye mchezo huo wa mwishoni mwa wiki ambapo ameeleza atahakikisha kila mchezo wanaocheza wanapata ushindi ili wazidi kujitengenezea wakati...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Man City wapewa Barca 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya