Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Klabu za England hoi kimataifa

Jana usiku viwanja kadhaa viliwaka moto, katika michuano ya ligi ya Europa wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani katika hatua ya 16 bora.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ENGLAND HOI KWA ITALIA

Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu. Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuisawazishia England katika dakika ua 37.…

 

10 years ago

BBCSwahili

England hoi kombe la dunia la kriketi

Timu ya kriket ya England imeambulia kichapo baada ya kukubali kuchapwa na New Zealand kwa jumla ya wiketi 8.

 

11 years ago

GPL

ENGLAND HOI KWA URUGUAY, YACHAPWA 2 -1

Mshambuliaji wa timu ya Uruguay, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 39 kipindi cha kwanza. Luis Suarez akipiga mpira kichwa kufunga bao la kwanza.…

 

10 years ago

GPL

SCOTLAND HOI KWA ENGLAND YAPIGWA BAO 3-1

Wachezaji wa timu ya England wakishangilia baada ya mechi kumalizika dhidi ya Scotland katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa kuamkia leo na kuwalaza wenyeji Scotland mabao 3-1 . Alex Oxlade-Chamberlain akifunga bao la kwanza kwa England dakika ya 32 kipindi cha kwanza.…

 

11 years ago

GPL

WALIOTOKA NA KUINGIA KLABU KUBWA ENGLAND

ARSENAL
WALIOINGIA
Alexis Sanchez (Barcelona, Pauni Milioni 30), Calum Chambers (Southampton, Pauni Milioni 12), Mathieu Debuchy (Newcastle, Pauni Milioni 10), David Ospina (Nice, Pauni Milioni 3), Danny Welbeck (Manchester United, Pauni Milioni 16) WALIOONDOKA
Thomas Vermaelen (Barcelona, Pauni Milioni 15), Johan Djourou (Hamburg, dau halijatajwa), Thomas Eisfeld (Fulham, dau halijatajwa), Bacary Sagna (Manchester City,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Klabu ipi maarufu zaidi Afrika ligi ya England?

Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, Ligi Kuu ya England ndio sasa basi, ndio mwisho wa kila kitu, ndio eneo lao la maabadi.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Layla (The Voice Fairy) — Hoi Hoi

12237221_1669908713222926_427056748_n

Wimbo wa msanii anayechipukia, Layla A. Walden aka The Voice Fairy uitwao ‘Hoi Hoi.’ Umetayarishwa kwenye studio za AM Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni shangwe na hoi hoi Ujerumani

Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamekusanyika tangu asubuhi mjini Berlin kuwakaribisha wachezaji wa timu ya taifa ya soka ambayo ilishinda kombe la dunia Brazil.

 

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani