England hoi kombe la dunia la kriketi
Timu ya kriket ya England imeambulia kichapo baada ya kukubali kuchapwa na New Zealand kwa jumla ya wiketi 8.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
picha za kombe la dunia la Kriketi
Mchuano wa kuwania ubingwa wa mchezo wa Kriketi duniani unaendelea huko Australia na New Zealand
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
India kidedea kombe la dunia kriketi
Timu ya kriketi ya India imeibanjua timu ya Ireland kwa jumla wiket nane kwenye michezo ya kombe la dunia la kriketi.
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Kombe la dunia ,England yaanza vibaya
Timu ya taifa ya wanawake ya England imeanza vibaya mashindano ya kombe dunia kwa upande wa wanawake yanayoendelea nchini Canada.
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
England yaiondoa Canada :Kombe la Dunia
Timu ya wanawake ya England ilifuzu kwa mara ya kwanza katika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Canada 2-1
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
England kuandaa kombe la dunia 2026 ?
England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLdVSjWu6Dcw1jWqXFC76Nerboat0LhfQEicGZCGe1r7-0wYTTxdqmN0f7aDAcCqVHuKrgy-3afz5Zt6QkSbWy-/Bnb9wUYIIAAcWgR.jpglarge.jpeg?width=600)
WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA
Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlk8yqtM5mv04011z8c4fiuiNjinx*LAGcYhCBkygaMQLH8M22ItgF8MPL5tdn4oF1tob3Tg66iEEC8TJBOaIA8/article26573901EBF352B00000578670_636x382.jpg?width=650)
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
AADA ya Fainali za Kombe la Dunia kuanza juzi kwa mchezo kati ya Brazil na Croatia, leo kuna mechi nyingine kali kati ya England na Italia. Huu ni mchezo ambao mashabiki wa soka wanausubiri kwa hamu kubwa wakiamini pia utatumika kutoa majibu halisi ya fainali hizo zinazofanyika nchini Brazil.
England na Italia ni nchi ambazo ligi zake ni maarufu sana, huku zikiwa zinafuatiliwa kwa karibu sana na mashabiki wa soka duniani kote. ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmoevIWMDTGzJJ7Ub4uHZxDt5Zml-1TD8xkMGr89lODQ66pGOMOzOQqcA2VmhUuxI7ApuAH4e3ynqnku7YBBIvo/BALO.jpg)
ENGLAND HOI KWA ITALIA
Straika wa Italia, Mario Balotelli (kushoto) akiifungia timu yake bao la ushindi dhidi ya England usiku huu. Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuisawazishia England katika dakika ua 37.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania