England yaiondoa Canada :Kombe la Dunia
Timu ya wanawake ya England ilifuzu kwa mara ya kwanza katika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Canada 2-1
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
England hoi kombe la dunia la kriketi
Timu ya kriket ya England imeambulia kichapo baada ya kukubali kuchapwa na New Zealand kwa jumla ya wiketi 8.
10 years ago
BBCSwahili10 Jun
Kombe la dunia ,England yaanza vibaya
Timu ya taifa ya wanawake ya England imeanza vibaya mashindano ya kombe dunia kwa upande wa wanawake yanayoendelea nchini Canada.
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
England kuandaa kombe la dunia 2026 ?
England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026.
11 years ago
GPL
WACHEZAJI WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND KOMBE LA DUNIA
Hatimaye kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hodgson ametangaza kikosi cha timu hiyo kitakachoenda Brazil hivi punde.
Kikosi cha England kilichotangazwa kina majina ya wachezaji wafuatao:
Goalkeepers: Joe Hart (Manchester City), Fraser Forster (Celtic), Ben Foster (West Brom)
Defenders: Glen Johnson (Liverpool), Phil Jones (Manchster United), Phil Jagielka (Everton), Gary Cahill (Chelsea), Chris Smalling (Manchester...
11 years ago
GPL
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
AADA ya Fainali za Kombe la Dunia kuanza juzi kwa mchezo kati ya Brazil na Croatia, leo kuna mechi nyingine kali kati ya England na Italia. Huu ni mchezo ambao mashabiki wa soka wanausubiri kwa hamu kubwa wakiamini pia utatumika kutoa majibu halisi ya fainali hizo zinazofanyika nchini Brazil.
England na Italia ni nchi ambazo ligi zake ni maarufu sana, huku zikiwa zinafuatiliwa kwa karibu sana na mashabiki wa soka duniani kote. ...
10 years ago
GPL
CHELSEA WAKABIDHIWA KOMBE LAO LA LIGI KUU YA ENGLAND
Chelsea wakisherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya England kwa msimu wa 2014/15. CHELSEA wamekabidhiwa kombe lao baada ya mechi yao ya mwisho dhidi ya Sunderland leo iliyomalizika kwa wababe hao kuibuka kidedea kwa mabao 3-1. Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho. Mabao hayo yamewekwa kimiani na Loic Remy aliyetupia mawili huku lingine likifungwa na…
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Dimba la dunia la wanawake kuanza Canada
Michuano ya kombe la dunia la wanawake inatarajiwa kuanza baadaye hii leo nchini Canada
10 years ago
Mwananchi09 Feb
PROFESA MBAGA: Mchumi aliyetumikia Canada, Benki ya Dunia
>Taifa lolote duniani haliwezi kuendelea bila kuwa na wachumi wanaopima na kuweka mizania ya kiuchumi kwa lengo la kusaidia ukuaji wake na kusonga mbele.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Kwa nini ncha ya kaskazini ya dunia inaelekea Urusi kutoka Canada?
Kundi moja la wanasayansi wa Ulaya wanaamini wamegundua sababu inayosababisha kusongea kwa ncha ya kaskazini ya dunia (North Pole).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania