Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROFESA MBAGA: Mchumi aliyetumikia Canada, Benki ya Dunia

>Taifa lolote duniani haliwezi kuendelea bila kuwa na wachumi wanaopima na kuweka mizania ya kiuchumi kwa lengo la kusaidia ukuaji wake na kusonga mbele.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TANGAZO LA KIFO CHA MICHAEL JAPHET MBAGA NA JOHN JAPHET MBAGA

FAMILIA ya marehemu mzee Japhet Mbaga, wa Dar es Salaam kwa masikitiko makubwa inatangaza vifo vya kaka zao wapendwa, MICHAEL NA JOHN JAPHET MBAGA, vilivyotokea hapa DSM siku ya jumapili na jumatatu.
Mazishi yanatarajiwa kufanyika makaburi ya Kinondoni, siku ya alhamisi tarehe 3 Septemba, 2015 saa 10.00 jioni. 
Ratiba ya kutoa heshima za mwisho itafanyika siku hiyo hiyo, saa 7.00 mchana nyumbani kwa Mary Rusimbi (Mkurugenzi Mkuu, WOMEN FUND TANZANIA) eneo la Tabata - shule, nyumba za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dimba la dunia la wanawake kuanza Canada

Michuano ya kombe la dunia la wanawake inatarajiwa kuanza baadaye hii leo nchini Canada

 

10 years ago

BBCSwahili

England yaiondoa Canada :Kombe la Dunia

Timu ya wanawake ya England ilifuzu kwa mara ya kwanza katika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Canada 2-1

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini ncha ya kaskazini ya dunia inaelekea Urusi kutoka Canada?

Kundi moja la wanasayansi wa Ulaya wanaamini wamegundua sababu inayosababisha kusongea kwa ncha ya kaskazini ya dunia (North Pole).

 

10 years ago

GPL

PROFESA MAZRUI AFARIKI DUNIA

Profesa Ali Mazrui enzi za uhai wake. MSOMI mashuhuri wa masuala ya kisiasa, utamaduni wa Kiafrika na dini ya kiisilamu wa nchini Kenya, Profesa Ali Mazrui ameaga dunia leo akiwa Marekani. Mazrui alyekuwa anaishi nchini Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 81baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa zinadai kuwa Profesa Mazrui atazikwa mjini Mombasa, Pwani ya Kenya alikozaliwa. Enzi za uhai wake, marehemu alitoa ombi la...

 

10 years ago

Michuzi

news alert: Profesa Ali Alamin Mazrui afariki dunia

 Msomi maarufu wa Kenya Profesa Ali Alamin Mazrui (pichani) amefariki dunia leo asubuhi jijini New York, Marekani akiwa na umri wa miaka 81. 
Profesa Mazrui alikuwa mhadhili  katika chuo kikuu cha Binghamton jijini New York. Ameandika vitabu 30 ambavyo vimezungumzia masuala ya uongozi na siasa za Afrika na Kimataifa pamoja na masomo ya kiislamu. Je, unamkumbuka vipi msomi huyo? (DW - KISWAHILI)

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia

Huzuni ya kumba tasnia ya uandishi na habari Afrika Mashariki

 

11 years ago

Mwananchi

Mchumi adaiwa kutafuna mamilioni

>Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Dodoma juzi lilimfukuza kazi Mchumi wa Manispaa hiyo, Isack Kissa kwa tuhuma za wizi wa mamilio ya fedha.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana ailaumu Benki ya Dunia

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameilaumu Benki ya Dunia kwa urasimu uliokithiri na sera mbovu zinazokandamiza nchi masikini, badala ya kuzisaidia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani