news alert: Profesa Ali Alamin Mazrui afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Ej59uEmq1c/VDvVtiF0OBI/AAAAAAAGpzM/yWlUc6NcIvA/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Msomi maarufu wa Kenya Profesa Ali Alamin Mazrui (pichani) amefariki dunia leo asubuhi jijini New York, Marekani akiwa na umri wa miaka 81.
Profesa Mazrui alikuwa mhadhili katika chuo kikuu cha Binghamton jijini New York. Ameandika vitabu 30 ambavyo vimezungumzia masuala ya uongozi na siasa za Afrika na Kimataifa pamoja na masomo ya kiislamu. Je, unamkumbuka vipi msomi huyo? (DW - KISWAHILI)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-02oFTYk2Ma0/VDuuxLOE1MI/AAAAAAAGpvo/L9qOYVDgsVI/s72-c/Ali%2BA.%2BMazrui.jpg)
Prof. Ali Alamin Mazrui afariki Dunia leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-02oFTYk2Ma0/VDuuxLOE1MI/AAAAAAAGpvo/L9qOYVDgsVI/s1600/Ali%2BA.%2BMazrui.jpg)
Prof. Mazrui amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81,taarifa za awali zinaeleza kuwa Prof. Mazrui hakuwa akijisikia vizuri kwa miezi kadhaa kabla ya kifo chake.
Mwenyekiti wa Haki za Binadamau za Waislam (MUHURI) Khelef Khalifa amesema mwili wa marehemu Prof. Prof Mazrui utasafirishwa kwa ndege kwenda Kenya kwa mazishi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZdG8b1HH0zKqDh1y5R4XC241xK5pV1ijZotz30uJEbbrZU1H480X69QS46-yagc48to0T4mzqAGLPNuC32-3QK/AliA.Mazrui.jpg)
PROFESA MAZRUI AFARIKI DUNIA
10 years ago
VijimamboBURIANI PROFESA ALI MAZRUI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MpiIfxh4lb8/U0qpCTD-qGI/AAAAAAAFadk/2NFfL4A-6iU/s72-c/GURUMO.jpg)
NEWS ALERT: MAALIM MUHIDIN GURUMO AFARIKI DUNIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MpiIfxh4lb8/U0qpCTD-qGI/AAAAAAAFadk/2NFfL4A-6iU/s1600/GURUMO.jpg)
NGULI WA MUZIKI WA DANSI HAPA NCHINI NA ALIEKUWA KIONGOZI WA BENDI YA MSONDO NGOMA,MAALIM MUHIDIN GURUMO AMEFARIKI DUNIA MCHANA WA LEO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI ALIKOKUWA AMELAZWA KWA MATIBABU.
MAALIM GURUMO AMEFIKWA NA MAUTI HAYO BAADA YA KUSUMBULIWA NA MARADHI KWA KIPINDI KIREFU,HALI ILIYOMPELEKEA KUSHINDWA KABISA KUONEKANA TENA JUKWAANI.
MSIBA UPO NYUMBANI KWA MAREHEMU TABATA MAKUBURI NA MIPANGO YOTE ITAFANYIKA HAPO.
GLOBU YA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5rbUr_lCw-4/U_H6EJYyotI/AAAAAAAGAfk/pb9Q9d8c2_I/s72-c/LewisJaji.jpg)
NEWS ALERT: Jaji Lewis Makame afariki Dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-5rbUr_lCw-4/U_H6EJYyotI/AAAAAAAGAfk/pb9Q9d8c2_I/s1600/LewisJaji.jpg)
taarifa kamili itakuja baadae.
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Msomi mkenya Profesa Mazrui afariki
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s72-c/BANZA.jpg)
NEWS ALERT: BANZA STONE AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s640/BANZA.jpg)
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LSoyPgWn7v4/VaLpKjHcW2I/AAAAAAAHpO4/-e55uvFz3tc/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
news alert: Mchekeshaji wa Kenya Mzee Ojwanga afariki dunia
![](http://4.bp.blogspot.com/-LSoyPgWn7v4/VaLpKjHcW2I/AAAAAAAHpO4/-e55uvFz3tc/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
Mwigizaji wa filamu za vichekesho wa Kenya Benson Wanjau maarufu kama Mzee Ojwang (pichani) amefariki dunia Jumapili jioni katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta National alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Taarifa kutoka NAirobi zinasema alikuwa anaumwa "Nimonia" (Pneumonia). Marehemu Mzee Ojwang alijipatia umaarufu mkubwa Afrika Mashariki kwa vituko vyake kwenye filamu za Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na Kinyonga. Alikuwa haonekani kwa muda mrefu kwenye televisheni za Kenya na mashabiki...
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
News Alert; Waziri Kigoda afariki dunia nchini India
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh Abdallah Kigoda (pichani) amefariki dunia jioni hii nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu.
Taarifa za kifo cha Mh Kigoda ambaye pia alikuwa mbunge wa Handeni mkoani Tanga zimethibitishwa na ofisi ya Bunge jijini Dar es Salaam.
Mhe. Dkt. Kigoda alikwenda nchini India kwa matibabu tarehe 18 Septemba, 2015, kupata matibabu katika hospitali Hiyo ya Apollo. Taarifa zaidi kutolewa baadaye.
Modewji Blog inaungana na Familia ya Marehemu pamoja na Watanzania kwa...