PROFESA MAZRUI AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZdG8b1HH0zKqDh1y5R4XC241xK5pV1ijZotz30uJEbbrZU1H480X69QS46-yagc48to0T4mzqAGLPNuC32-3QK/AliA.Mazrui.jpg)
Profesa Ali Mazrui enzi za uhai wake. MSOMI mashuhuri wa masuala ya kisiasa, utamaduni wa Kiafrika na dini ya kiisilamu wa nchini Kenya, Profesa Ali Mazrui ameaga dunia leo akiwa Marekani. Mazrui alyekuwa anaishi nchini Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 81baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa zinadai kuwa Profesa Mazrui atazikwa mjini Mombasa, Pwani ya Kenya alikozaliwa. Enzi za uhai wake, marehemu alitoa ombi la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_Ej59uEmq1c/VDvVtiF0OBI/AAAAAAAGpzM/yWlUc6NcIvA/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
news alert: Profesa Ali Alamin Mazrui afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Ej59uEmq1c/VDvVtiF0OBI/AAAAAAAGpzM/yWlUc6NcIvA/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Profesa Mazrui alikuwa mhadhili katika chuo kikuu cha Binghamton jijini New York. Ameandika vitabu 30 ambavyo vimezungumzia masuala ya uongozi na siasa za Afrika na Kimataifa pamoja na masomo ya kiislamu. Je, unamkumbuka vipi msomi huyo? (DW - KISWAHILI)
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Msomi mkenya Profesa Mazrui afariki
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-02oFTYk2Ma0/VDuuxLOE1MI/AAAAAAAGpvo/L9qOYVDgsVI/s72-c/Ali%2BA.%2BMazrui.jpg)
Prof. Ali Alamin Mazrui afariki Dunia leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-02oFTYk2Ma0/VDuuxLOE1MI/AAAAAAAGpvo/L9qOYVDgsVI/s1600/Ali%2BA.%2BMazrui.jpg)
Prof. Mazrui amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81,taarifa za awali zinaeleza kuwa Prof. Mazrui hakuwa akijisikia vizuri kwa miezi kadhaa kabla ya kifo chake.
Mwenyekiti wa Haki za Binadamau za Waislam (MUHURI) Khelef Khalifa amesema mwili wa marehemu Prof. Prof Mazrui utasafirishwa kwa ndege kwenda Kenya kwa mazishi.
10 years ago
VijimamboBURIANI PROFESA ALI MAZRUI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s72-c/unnamed.jpg)
BURIANI BURIANI PROFESA ALI MAZRUI
![](http://1.bp.blogspot.com/-o59ii63ZArQ/VDzu6tOZGSI/AAAAAAAGqdE/M7_t4bElC74/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
10 years ago
Mwananchi09 Feb
PROFESA MBAGA: Mchumi aliyetumikia Canada, Benki ya Dunia
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Mbunge afariki dunia