Prof. Ali Alamin Mazrui afariki Dunia leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-02oFTYk2Ma0/VDuuxLOE1MI/AAAAAAAGpvo/L9qOYVDgsVI/s72-c/Ali%2BA.%2BMazrui.jpg)
Msomi maarufu nchini Kenya na Afrika Mashariki,Prof. Ali Alamin Mazrui (pichani) amefariki dunia leo asubuhi Binghamton Jijini New York nchini Marekani.
Prof. Mazrui amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81,taarifa za awali zinaeleza kuwa Prof. Mazrui hakuwa akijisikia vizuri kwa miezi kadhaa kabla ya kifo chake.
Mwenyekiti wa Haki za Binadamau za Waislam (MUHURI) Khelef Khalifa amesema mwili wa marehemu Prof. Prof Mazrui utasafirishwa kwa ndege kwenda Kenya kwa mazishi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_Ej59uEmq1c/VDvVtiF0OBI/AAAAAAAGpzM/yWlUc6NcIvA/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
news alert: Profesa Ali Alamin Mazrui afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Ej59uEmq1c/VDvVtiF0OBI/AAAAAAAGpzM/yWlUc6NcIvA/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Profesa Mazrui alikuwa mhadhili katika chuo kikuu cha Binghamton jijini New York. Ameandika vitabu 30 ambavyo vimezungumzia masuala ya uongozi na siasa za Afrika na Kimataifa pamoja na masomo ya kiislamu. Je, unamkumbuka vipi msomi huyo? (DW - KISWAHILI)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZdG8b1HH0zKqDh1y5R4XC241xK5pV1ijZotz30uJEbbrZU1H480X69QS46-yagc48to0T4mzqAGLPNuC32-3QK/AliA.Mazrui.jpg)
PROFESA MAZRUI AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPLSHEIKH ALI COMORIAN AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ztt_d07VuYA/VOXAKB5y58I/AAAAAAAHEfs/ynVPyIInzGI/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
TAARIFA YA MSIBA: MKE WA PROF MLEKWA WA UDSM AFARIKI DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ztt_d07VuYA/VOXAKB5y58I/AAAAAAAHEfs/ynVPyIInzGI/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Inasikitika kutangaza kifo cha mama yao Febronia Mshomba Mlekwa kilichotokea tarehe 16/02/2015 Katika Hospitali ya Kairuki, Dar Es Salaam. Mazishi yatafanyika tarehe19/02/2015 Alhamisi, Goba Dar Es Salaam.
Wale wote watakao kuungana penda na wafiwa, wanakaribishwa nyumbani kwa Mrehemu Savery mapema. Wote tunawatakia pole ya msiba.
10 years ago
TheCitizen14 Oct
TRIBUTE: The 13 things about Prof Mazrui’s life
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MCHEZAJI WA KMKM NA ZANZIBAR HEROES ALI SULEIMAN AFARIKI DUNIA KWA KUANGUKIWA NA MTI
10 years ago
VijimamboBURIANI PROFESA ALI MAZRUI
10 years ago
Vijimambo13 Oct
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78175000/jpg/_78175390_mazrui.jpg)
Top Kenyan academic Ali Mazrui dies