Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TRIBUTE: The 13 things about Prof Mazrui’s life

>1. He wanted to become a jurist in Islamic law, as his father was the Chief Kadhi of Kenya in the 1940s.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Prof. Ali Alamin Mazrui afariki Dunia leo

Msomi maarufu nchini Kenya na Afrika Mashariki,Prof. Ali Alamin Mazrui (pichani) amefariki dunia leo asubuhi Binghamton Jijini New York nchini Marekani. 
 Prof. Mazrui amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81,taarifa za awali zinaeleza kuwa Prof. Mazrui hakuwa akijisikia vizuri kwa miezi kadhaa kabla ya kifo chake. 
 Mwenyekiti wa Haki za Binadamau za Waislam (MUHURI) Khelef Khalifa amesema mwili wa marehemu Prof. Prof Mazrui utasafirishwa kwa ndege kwenda Kenya kwa mazishi.

 

10 years ago

TheCitizen

A rich legacy: The life and times of Ali Mazrui

Ali Al Amin Mazrui died early this week at the age of 81 in New York, where he had been teaching since he went into self-exile in 1973.

 

5 years ago

The Guardian

Lockdown London: how much of the fabric of life can you take away before things fall apart?

Lockdown London: how much of the fabric of life can you take away before things fall apart?  The Guardian

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)Ukumbi wa Diamond Jubilee ukiwa umefurika Wazee waliokuja kumsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Ukumbi ulifurika kila kona.
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazrui hatimaye azikwa

Msomi maarufu marehemu Profesa Ali Mazrui hatimaye amezikwa.

 

10 years ago

TheCitizen

Towering scholar Mazrui is buried

The late Prof Ali Mazrui was laid to rest Sunday in Mombasa. The renowned scholar was buried at the Mazrui cemetery opposite Fort Jesus in Mombasa Old Town area.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

PROFESA MAZRUI AFARIKI DUNIA

Profesa Ali Mazrui enzi za uhai wake. MSOMI mashuhuri wa masuala ya kisiasa, utamaduni wa Kiafrika na dini ya kiisilamu wa nchini Kenya, Profesa Ali Mazrui ameaga dunia leo akiwa Marekani. Mazrui alyekuwa anaishi nchini Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 81baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa zinadai kuwa Profesa Mazrui atazikwa mjini Mombasa, Pwani ya Kenya alikozaliwa. Enzi za uhai wake, marehemu alitoa ombi la...

 

10 years ago

TheCitizen

Mazrui defined the terms of politics

We should think of Ali Mazrui as a long distance runner from a continent that specialises in giving the world some of its best long distance runners. Ali ran to his last breath: the ink kept flowing and the corpus kept growing, and the voice was as booming as ever.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani