Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazrui hatimaye azikwa

Msomi maarufu marehemu Profesa Ali Mazrui hatimaye amezikwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwana wa Raila Odinga hatimaye azikwa

Maelfu ya waombolezaji walifika katika chuo kikuu cha jaramogi Oginga Odinga siku ya jumamosi kwa mazishi ya mwana wa Raila.

 

11 years ago

BBCSwahili

Emir wa Kano,Nigeria hatimaye azikwa

Mazishi ya Emir wa eneo la KANO kazkazini mwa Nigeria yamefanyika.

 

10 years ago

GPL

HATIMAYE BRIGEDIA JENERALI MBITA AZIKWA

Mwili wa Brigedia Jenerali Hashim Mbita ukiswaliwa Msikitini. Mwili wa Marehemu Mbita ukiingizwa kwenye gari maalum la Jeshi kwa ajili ya kupelekwa makaburi ya Kisutu Dar kwa maziko.…

 

9 years ago

CHADEMA Blog

HATIMAYE ALPHONSE MAWAZO AZIKWA KIJIJINI KWAO GEITA

Mheshimiwa Edward Lowassa na Mheshimiwa Freeman Mbowe wakiwa kijijini alipozaliwa Alphonse Mawazo ambapo shughuli za mazishi zimefanyika. Mke wa Alphonse Mawazo akishriki mazishi ya mumewe yaliyofanyika Kijijini kwao Mkoani Geita. Mtoto wa Alphonse Mawazo Preciuos Mawazo akionekana mwenye sura ya huzuni wakati wa mazishi ya Marehemu baba yake. Precious Mawazo akibusu mwili wa marehemu

 

10 years ago

GPL

PROFESA MAZRUI AFARIKI DUNIA

Profesa Ali Mazrui enzi za uhai wake. MSOMI mashuhuri wa masuala ya kisiasa, utamaduni wa Kiafrika na dini ya kiisilamu wa nchini Kenya, Profesa Ali Mazrui ameaga dunia leo akiwa Marekani. Mazrui alyekuwa anaishi nchini Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 81baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa zinadai kuwa Profesa Mazrui atazikwa mjini Mombasa, Pwani ya Kenya alikozaliwa. Enzi za uhai wake, marehemu alitoa ombi la...

 

10 years ago

Vijimambo

BURIANI PROFESA ALI MAZRUI

Octoba 14 mwaka jana Uwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa uliandaa hafla ya kwanza ya aina yake ya kumkumbuka na kumuenzi Baba wa Taifa Mwalimu Julius kambarage Nyerere. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao hapa Umoja wa Mataifa na wageni mbalimbali. Ni hafla iliyoambatana na uzinduzi wa kitabu kinachomhusu Baba wa Taifa, Kitabu hicho kiliandikwa kwa ufundi mkubwa na Profesa Ali Mazrui kwa kushirikiana...

 

10 years ago

TheCitizen

Towering scholar Mazrui is buried

The late Prof Ali Mazrui was laid to rest Sunday in Mombasa. The renowned scholar was buried at the Mazrui cemetery opposite Fort Jesus in Mombasa Old Town area.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

TheCitizen

Mazrui defined the terms of politics

We should think of Ali Mazrui as a long distance runner from a continent that specialises in giving the world some of its best long distance runners. Ali ran to his last breath: the ink kept flowing and the corpus kept growing, and the voice was as booming as ever.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani