MCHEZAJI WA KMKM NA ZANZIBAR HEROES ALI SULEIMAN AFARIKI DUNIA KWA KUANGUKIWA NA MTI
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MCHEZAJI wa KMKM na timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’,  Ali Suleiman Abdi amefariki dunia baada ya kuangukiwa na mti wakati wa mvua kubwa iliyoambatanana na upepo mkali iliyonyesha jana mjini humo!
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMCHEZAJI WA ZAMANI WA KMKM NA TIMU YA TAIFA. MCHA KHAMIS AFARIKI DUNIA
Buriani Mchezaji wa Zamani wa timu ya KMKM na Miembeni Zanzibar Mcha Khamis Mcha aliyefarika jana Mjini Dar-es-Salaam akipata matibabu katika hospitali ya Muimbili. kwa mujibu wa habari za ndugu wa karibu wamesema alikuwa akisumbulia na matatizo ya mkojo. Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar leo katika bandari ya Malindi saa.6 mchana kwa Boti ya Azam Marine, baada ya kuwasili mwili wa marehemu utapelekwa Kijiji...
10 years ago
GPLSHEIKH ALI COMORIAN AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi06 Jun
BREAKING NYUZZZZ....: MCHEZAJI WA ZAMANI WA TIMU YA SIMBA,GEBBO PETER AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
GLOGU YA JAMII INAFATILIA TARATIBU ZOTE ZA MSIBA HUO NA TUTAENDELEA KUTAARIFIANA KADRI TUTAKAVYOKUWA TUKIZIPATA.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-02oFTYk2Ma0/VDuuxLOE1MI/AAAAAAAGpvo/L9qOYVDgsVI/s72-c/Ali%2BA.%2BMazrui.jpg)
Prof. Ali Alamin Mazrui afariki Dunia leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-02oFTYk2Ma0/VDuuxLOE1MI/AAAAAAAGpvo/L9qOYVDgsVI/s1600/Ali%2BA.%2BMazrui.jpg)
Prof. Mazrui amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81,taarifa za awali zinaeleza kuwa Prof. Mazrui hakuwa akijisikia vizuri kwa miezi kadhaa kabla ya kifo chake.
Mwenyekiti wa Haki za Binadamau za Waislam (MUHURI) Khelef Khalifa amesema mwili wa marehemu Prof. Prof Mazrui utasafirishwa kwa ndege kwenda Kenya kwa mazishi.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_Ej59uEmq1c/VDvVtiF0OBI/AAAAAAAGpzM/yWlUc6NcIvA/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
news alert: Profesa Ali Alamin Mazrui afariki dunia
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Ej59uEmq1c/VDvVtiF0OBI/AAAAAAAGpzM/yWlUc6NcIvA/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Profesa Mazrui alikuwa mhadhili katika chuo kikuu cha Binghamton jijini New York. Ameandika vitabu 30 ambavyo vimezungumzia masuala ya uongozi na siasa za Afrika na Kimataifa pamoja na masomo ya kiislamu. Je, unamkumbuka vipi msomi huyo? (DW - KISWAHILI)
9 years ago
StarTV10 Oct
Kijana mmoja afariki baada ya kuangukiwa na jiwe
Kijana mmoja anayejulikana kwa jina la Johnson Muchunguzi amefariki dunia baada ya kuangukiwa na miamba ya mawe alipokuwa katika shughuli za uchimbaji wa mchanga kwenye eneo la machimbo yasiyo rasmi ya Rwome yaliyopo katika kata ya Kashai Manispaa ya Bukoba,.
Baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo wamesema kijana huyo pamoja na wenzake walikutwa na dhaama hiyo majira ya asubuhi baada ya jiwe kubwa kuanguka na kumfukia wakati akiwa katika shimo alilokuwa akichimbia mchanga.
Vikosi vya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S7O4nB7IPno/VJ_kIN7Zz6I/AAAAAAAG6HU/9PNz9yB05Xc/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Tanzia: Sheikh Ali Mzee Comorian afariki dunia mchana huu, kuzikwa kesho saa nne asubuhi
![](http://3.bp.blogspot.com/-S7O4nB7IPno/VJ_kIN7Zz6I/AAAAAAAG6HU/9PNz9yB05Xc/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Mwenyezi Mungu ampe Kauli Thabit Imetolewa na:Abdulrahman S. I....
10 years ago
VijimamboKMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA