Dimba la dunia la wanawake kuanza Canada
Michuano ya kombe la dunia la wanawake inatarajiwa kuanza baadaye hii leo nchini Canada
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Je utatazamia wapi dimba la dunia ?
Mwaka 2010 mashabiki wa soka Uganda walishambuliwa wakitazama fainali za kombe la dunia katika uwanja wa Kyadondo mjini Kampala.
10 years ago
BBCSwahili28 Jun
England yaiondoa Canada :Kombe la Dunia
Timu ya wanawake ya England ilifuzu kwa mara ya kwanza katika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia baada ya kuilaza Canada 2-1
10 years ago
Mwananchi09 Feb
PROFESA MBAGA: Mchumi aliyetumikia Canada, Benki ya Dunia
>Taifa lolote duniani haliwezi kuendelea bila kuwa na wachumi wanaopima na kuweka mizania ya kiuchumi kwa lengo la kusaidia ukuaji wake na kusonga mbele.
5 years ago
BBCSwahili07 May
Kwa nini ncha ya kaskazini ya dunia inaelekea Urusi kutoka Canada?
Kundi moja la wanasayansi wa Ulaya wanaamini wamegundua sababu inayosababisha kusongea kwa ncha ya kaskazini ya dunia (North Pole).
11 years ago
Michuzi03 Aug
Ligi ya Wanawake Dar kuanza Agosti 28
LIGI ya Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam inatarajiwa kaunza Agosti 28 mwaka huu katika viwanja vya Benjamin Mkapa, Bandari na Makurumla.
Ofisa Habari wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Mohamed Mharizo alisema kuwa ligi hiyo ni moja ya mkakati wao wa kuimarisha mchezo ili uweze kuwa na hamasa kwa wanawake.
Alizitaja timu zitakazoshiriki ligi hiyo kuwa ni Mburahati Queens, Evergreen Queens, Sayari, Real Tanzanite, Uzuri Queens, Simba Queens, BYC Queens, JKT Queens, Lulu...
Ofisa Habari wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Mohamed Mharizo alisema kuwa ligi hiyo ni moja ya mkakati wao wa kuimarisha mchezo ili uweze kuwa na hamasa kwa wanawake.
Alizitaja timu zitakazoshiriki ligi hiyo kuwa ni Mburahati Queens, Evergreen Queens, Sayari, Real Tanzanite, Uzuri Queens, Simba Queens, BYC Queens, JKT Queens, Lulu...
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vurugu kombe la dunia likikaribia kuanza
Polisi katika mji wa Sao Paulo nchini Brazil wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya mdogo waandamana kupinga kuandaliwa kwa kombe la dunia
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Michuano ya dunia Mpira wa pete kuanza
Michuano ya kumi na nne ya kombe la dunia la mchezo wa pete itaanza kutimua vumbi leo katika jiji la Sydney nchini Australia
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s72-c/Tanzania_FF_(logo).png)
ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-X1MGYS4MSPs/VMUSvtWiJFI/AAAAAAAG_c8/fcMEv2KNPiQ/s1600/Tanzania_FF_(logo).png)
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano hiyo itakayooneshwa moja kwa moja na Azam Televisheni itaanza saa 9 alasiri kwa kuzikutanisha Mwanza na Kigoma. Robo fainali ya pili ambayo ni kati ya Tanga na Pwani itaanza saa 11 kamili jioni.
Ilala na Iringa watacheza robo...
5 years ago
MichuziWADAU WA UVUVI MDOGO WAKIWEMO WANAWAKE KUANZA KUNUFAIKA.
Na. Edward Kondela
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema ana matumaini makubwa na mradi wa Mwongozo wa Masuala ya Uvuvi Mdogo (Small Scale Fisheries Guidelines) kwa kuwa mbali na kushughulika na wavuvi wadogo unalenga pia katika kuhakikisha wanawake wanahusishwa kikamilifu katika mnyororo wa uzalishaji kuanzia ngazi za awali.
Akizungumza jana majira ya jioni (11.03.2020) katika kikao kilichofanyika kwenye ofisi ndogo za wizara hiyo katika jengo la NBC jijini Dodoma,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania