Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vurugu kombe la dunia likikaribia kuanza

Polisi katika mji wa Sao Paulo nchini Brazil wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya mdogo waandamana kupinga kuandaliwa kwa kombe la dunia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO

Mshambuliaji wa timu ya Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior ' Neymar '. John Joseph na mtandao NJIA ya kuelekea kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2014 inachongwa leo Ijumaa na kesho Jumamosi ambapo kutakuwa na mechi nne za robo fainali.…

 

10 years ago

Michuzi

STARTIMES KUANZA KUONYESHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U20

Na Dotto Mwaibale
WAPENZI  wa soka nchini sasa watafaidi kwa kutazama michuano ya kombe la dunia chini ya miaka 20 mwaka 2015 moja wa moja kwenye luninga zao kupitia ving’amuzi vya StarTimes pekee.
Michuano hiyo ambayo itaanza kutimua vumbi tarehe 30 mwezi Mei na kumalizika tarehe  20 mwezi Juni  mwaka huu moja kwa moja kutoka nchini New Zealand ambapo timu 24 za vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani yatachuana kuwania ubingwa.


Akizungumza baada ya kupata haki miliki kutoka kwa FIFA za...

 

11 years ago

Mwananchi

Kombe la FA kuanza Novemba

Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Martin Chacha amesema wanatarajia mashindano ya Kombe la  Chama cha Soka  (FA)  kuanza Novemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za kombe la Afrika kuanza leo

Timu zote Afrika zimewasili nchini Equatorial Guinea wakati ambapo mechi za taifa bingwa barani zinatarajiwa kung'oa nanga hii leo

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la Mapinduzi kuanza Januari Mosi

Michuano ya kombe la mapinduzi kuanza kutimua vumbi Zanzibari januari mosi mpaka Januari 13 mwakani.

 

10 years ago

Michuzi

ROBO FAINALI KOMBE LA TAIFA WANAWAKE KUANZA KESHO

Hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Taifa kwa Wanawake inachezwa kesho (Januari 26 mwaka huu) na Januari 27 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam kwa mechi mbili kila siku.
Mechi ya kwanza ya robo fainali ya michuano hiyo itakayooneshwa moja kwa moja na Azam Televisheni itaanza saa 9 alasiri kwa kuzikutanisha Mwanza na Kigoma. Robo fainali ya pili ambayo ni kati ya Tanga na Pwani itaanza saa 11 kamili jioni.
Ilala na Iringa watacheza robo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Historia ya kombe la dunia

Mihemko imeanza kushuhudiwa kabla ya kombe la dunia kuanza Brazil. Je unajua historia ya kombe hilo na baadhi ya wachezaji waliowakilisha Afrika?

 

11 years ago

Michuzi

kombe la dunia brazil?

 Hapana. Hawa ni sehemu ya wadau kutoka sehemu mbalimbali ya nchi zaidi ya 10,000 waliofika asubuhi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kwa ajili ya usaili wa kazi katika Idara ya Uhamiaji, kuwania nafasi takriban 70 zilizotangazwa 

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani