Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la FA kuanza Novemba

Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Martin Chacha amesema wanatarajia mashindano ya Kombe la  Chama cha Soka  (FA)  kuanza Novemba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia ni Novemba na December 2022

Michuano ya Kombe la dunia inatarajiwa kuchezwa mwaka 2022 huko Qatar limepangwa kutimua vumbi November na December.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia 2022 Decemba au Novemba

Fainali za kombe la dunia kwa mwaka 2022 nchini Qatar huenda sasa zitafanyika mwezi Novemba au Decemba.

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni Serikali za Mitaa kuanza Novemba 30

KAMPENI kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika kote nchini Desemba 14, mwaka huu zitafanyika kwa wiki mbili kuanzia Novemba 30.

 

10 years ago

Michuzi

WIKI YA UJASIRIAMALI TANZANIA KUANZA NOVEMBA 17

Mratibu wa Wiki ya Ujasiriamali Tanzania, Lilian Secelela Madeje (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu maandalizi ya wiki hiyo inayotarajiwa kuanza Novemba 17 mwaka huu jijini humo. Kutoka kushoto ni mmoja wa wajasiriamali, Mboni Masimba wa kipindi cha Mboni Show na Meneja Miradi na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Magabe Kibiti Maasa. Meneja Miradi na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), Magabe Kibiti Maasa (kushoto)...

 

11 years ago

GPL

NACTER INTER –COLLEGE KUANZA NOVEMBA 21

   Afisa masoko wa Miss Demokrasia  Magreth Kilawe akisisitiza jambo.
Wadau na wahusika wa mashindano ya vyo wakisikiliza maswali kutoka kwa waandishi vya habari pichani hawapo.
    Waandishi wa habari wakisililiza.…

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MDEE KUANZA KUUNGURUMA NOVEMBA 16, MWAKA HUU

Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam
Mahakama  ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya  Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee (35) na wenzake wanane wa Chama Cha Demekrasia na Maendeleo wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri halali ya Jeshi la Polisi na kufanya mkusanyiko isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.
 Kesi hiyo ilitajwa leo na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.Mbali na Mdee, washtakiwa wengine ni, Rose Moshi (45), Renina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani