STARTIMES KUANZA KUONYESHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U20

Na Dotto Mwaibale
WAPENZI wa soka nchini sasa watafaidi kwa kutazama michuano ya kombe la dunia chini ya miaka 20 mwaka 2015 moja wa moja kwenye luninga zao kupitia ving’amuzi vya StarTimes pekee.
Michuano hiyo ambayo itaanza kutimua vumbi tarehe 30 mwezi Mei na kumalizika tarehe 20 mwezi Juni mwaka huu moja kwa moja kutoka nchini New Zealand ambapo timu 24 za vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani yatachuana kuwania ubingwa.
Akizungumza baada ya kupata haki miliki kutoka kwa FIFA za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la U20
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Michuano ya kombe la dunia yarindima
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Michuano ya dunia Mpira wa pete kuanza
11 years ago
Michuzi
TBC YAFANYA HALFA YA KUHITIMISHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA 2014, DAR


11 years ago
Michuzi
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Vurugu kombe la dunia likikaribia kuanza
11 years ago
GPL
ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika
10 years ago
Habarileo14 Aug
Uhondo Bundesliga kuanza leo Startimes
LIGI Kuu ya Ujerumani Bundesliga inaanza leo na kwa Tanzania itaonyeshwa moja kwa moja kupitia king’amuzi cha Startimes.