Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARTIMES KUANZA KUONYESHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U20

Na Dotto Mwaibale
WAPENZI  wa soka nchini sasa watafaidi kwa kutazama michuano ya kombe la dunia chini ya miaka 20 mwaka 2015 moja wa moja kwenye luninga zao kupitia ving’amuzi vya StarTimes pekee.
Michuano hiyo ambayo itaanza kutimua vumbi tarehe 30 mwezi Mei na kumalizika tarehe  20 mwezi Juni  mwaka huu moja kwa moja kutoka nchini New Zealand ambapo timu 24 za vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani yatachuana kuwania ubingwa.


Akizungumza baada ya kupata haki miliki kutoka kwa FIFA za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la U20

Nigeria imefuzu kwa kombe la dunia la wachezaji wasiozidi umri wa miaka 20

 

11 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la dunia yarindima

Ubelgiji iliicharaza Urusi bao moja bila....wengi wanasema michuano hii ina mizengwe kwani matokeo wanayoshuhudia hawakuyatarajia

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya dunia Mpira wa pete kuanza

Michuano ya kumi na nne ya kombe la dunia la mchezo wa pete itaanza kutimua vumbi leo katika jiji la Sydney nchini Australia

 

11 years ago

Michuzi

TBC YAFANYA HALFA YA KUHITIMISHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA 2014, DAR

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana (kulia) akiwakaribisha wageni walioalikwa katika hafla ya kuhitimisha michuano ya kombe la dunia 2014 iliyofanyika jana Julai 12, 2014 katika ofisi za Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof. Elisante ole Gabriel, akiongea machache katika hafla ya kuhitimisha michuano ya kombe la dunia 2014 iliyofanyika jana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vurugu kombe la dunia likikaribia kuanza

Polisi katika mji wa Sao Paulo nchini Brazil wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya mdogo waandamana kupinga kuandaliwa kwa kombe la dunia

 

11 years ago

GPL

ROBO FAINALI YA KOMBE LA DUNIA KUANZA LEO

Mshambuliaji wa timu ya Brazil, Neymar da Silva Santos Júnior ' Neymar '. John Joseph na mtandao NJIA ya kuelekea kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2014 inachongwa leo Ijumaa na kesho Jumamosi ambapo kutakuwa na mechi nne za robo fainali.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yatwaa kombe la 7 la U20 Afrika

Nigeria imeweka rekodi barani Afrika baada ya kutwaa kombe lake la saba la vijana wasiozidi umri wa miaka 20.

 

10 years ago

Habarileo

Uhondo Bundesliga kuanza leo Startimes

LIGI Kuu ya Ujerumani Bundesliga inaanza leo na kwa Tanzania itaonyeshwa moja kwa moja kupitia king’amuzi cha Startimes.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani