Michuano ya kombe la dunia yarindima
Ubelgiji iliicharaza Urusi bao moja bila....wengi wanasema michuano hii ina mizengwe kwani matokeo wanayoshuhudia hawakuyatarajia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MMnZFVoq8T0/VWqyMNz6-pI/AAAAAAAAQf8/dQVQ3ucxLoo/s72-c/z.jpg)
STARTIMES KUANZA KUONYESHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U20
![](http://1.bp.blogspot.com/-MMnZFVoq8T0/VWqyMNz6-pI/AAAAAAAAQf8/dQVQ3ucxLoo/s320/z.jpg)
WAPENZI wa soka nchini sasa watafaidi kwa kutazama michuano ya kombe la dunia chini ya miaka 20 mwaka 2015 moja wa moja kwenye luninga zao kupitia ving’amuzi vya StarTimes pekee.
Michuano hiyo ambayo itaanza kutimua vumbi tarehe 30 mwezi Mei na kumalizika tarehe 20 mwezi Juni mwaka huu moja kwa moja kutoka nchini New Zealand ambapo timu 24 za vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani yatachuana kuwania ubingwa.
Akizungumza baada ya kupata haki miliki kutoka kwa FIFA za...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xXJsJKgetg0/U7EslnAwqaI/AAAAAAAFtn0/DRVpImclEfs/s72-c/DStv-FWC-1+07+2014-Michuzi+blog+banner.png)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QiY3WI4r0PU/U8OmucESBSI/AAAAAAAA9XE/t134LhVqvn4/s72-c/IMG_1088.jpg)
TBC YAFANYA HALFA YA KUHITIMISHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA 2014, DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-QiY3WI4r0PU/U8OmucESBSI/AAAAAAAA9XE/t134LhVqvn4/s1600/IMG_1088.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4PikGLmtN4/U8Omw7nLbkI/AAAAAAAA9XM/r4CtHA-o32k/s1600/IMG_1096.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Michuano ya kombe la Capital One
Raheem Sterling aliihakikishia Liverpool kucheza nusu fainali za kombe la Capital One huku Chelsea ikibakia vizuri.
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika
Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Ilikoanzia michuano ya Kombe la Chalenji
Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati, (CECAFA) linaelezwa kuwa ni kati ya mMabaraza makongwe barani Afrika katika soka.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-N0HBZK6cblg/VEYPnkCf3CI/AAAAAAAGsH4/hUpzQo2WZBw/s72-c/unnamed%2B(70).jpg)
MICHUANO YA KOMBE LA CHIKAWE YASHIKA KASI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-N0HBZK6cblg/VEYPnkCf3CI/AAAAAAAGsH4/hUpzQo2WZBw/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Malinzi akabidhi kombe bingwa Michuano shule za Sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
MichuziFC VITO YAWA KINARA KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA HELSINKI CUP 2015, FINLAND
TIMU ya soka ya vijana chini ya miaka 11 ya FC Vito Kilwa ya Kilwa mkoani Lindi, imemaliza mechi za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Helsinki Cup 2015 kwa kishindo, baada ya kushinda mechi nne na kutoka sare moja, hivyo kumaliza ikiwa kinara wa Kundi BJ/11 ikiwa na pointi 13.
Zaidi ya timu 1,200 zinashiriki michuano hiyo ya nne kwa ukubwa miongoni mwa michuano ya vijana barani Ulaya, inayoendelea kushika kasi jijini Helsinki nchini Finland, ambako Tanzania inawakilishwa na FC Vito...
Zaidi ya timu 1,200 zinashiriki michuano hiyo ya nne kwa ukubwa miongoni mwa michuano ya vijana barani Ulaya, inayoendelea kushika kasi jijini Helsinki nchini Finland, ambako Tanzania inawakilishwa na FC Vito...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania