FC VITO YAWA KINARA KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA HELSINKI CUP 2015, FINLAND
TIMU ya soka ya vijana chini ya miaka 11 ya FC Vito Kilwa ya Kilwa mkoani Lindi, imemaliza mechi za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Helsinki Cup 2015 kwa kishindo, baada ya kushinda mechi nne na kutoka sare moja, hivyo kumaliza ikiwa kinara wa Kundi BJ/11 ikiwa na pointi 13.
Zaidi ya timu 1,200 zinashiriki michuano hiyo ya nne kwa ukubwa miongoni mwa michuano ya vijana barani Ulaya, inayoendelea kushika kasi jijini Helsinki nchini Finland, ambako Tanzania inawakilishwa na FC Vito...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UYiqaS-39sk/VZBPhayEtlI/AAAAAAAHlQI/p9P0yh5BAtE/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
FC Vito ya wilayani Kilwa yaagwaa na kuahidi kurejea na ushindi katika kombe la Helsinki huko Finland
![](http://1.bp.blogspot.com/-UYiqaS-39sk/VZBPhayEtlI/AAAAAAAHlQI/p9P0yh5BAtE/s320/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BEvjI2AHWn8/VZBPhp1QkTI/AAAAAAAHlQM/6sL8EpEDjyI/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhHRq1Zv5Oo/Vd3FLoPUkUI/AAAAAAAH0OU/Lc5wZWOU4Kc/s72-c/IMG-20150823-WA0028.jpg)
TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
FC Vito Malaika kupaa Finland kesho
KIKOSI cha FC Vito Malaika cha Ruangwa mkoani Lindi, kilichopo jijini Dar es Salaam tangu Mei 28, kesho kinatarajiwa kukwea pipa kwenda jijini Helsinki, Finland, kushiriki michuano ya ‘Study Cup...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s72-c/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
MICHUANO YA MBATIA CUP 2015 SASA YAMALIZA HATUA YA KWANZA YA KUPATA MABINGWA WA KATA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s640/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha timu ya Wazalendo kabla ya mchezo wa fainali.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiCB0-X46cE/VZ83EUNzuHI/AAAAAAAAR9Y/_MGtkW2XD7Q/s640/E86A3090%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha Himo fc kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali .
![](http://4.bp.blogspot.com/-LgypwHD40NY/VZ83nWzeqNI/AAAAAAAAR_E/eB18O7OUPU8/s640/E86A3175%2B%25281280x853%2529.jpg)
Katibu Mwenezi wa chama cha NCCR -Mageuzi ,Stanley Temba akiwa ameongozana na katibu wa Vijana wa chama hicho katika jimbo la Vunjo Danieleson Shayo wakisalimiana na wachezaji wa timu zote mbili kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SsliEuF71t4/VZ827ym5eYI/AAAAAAAAR80/nF2MX8mzX1Q/s640/E86A3085%2B%25281280x853%2529.jpg)
Waamuzi wa mchezo huo,Kabwe Korona,Beda Lyimo na Nassib wakizungumza na manahodha wa timu hizo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CjnKTFV92-w/VZ828OwAAlI/AAAAAAAAR88/WWhSQE0-8Sg/s640/E86A3074%2B%25281280x853%2529.jpg)
Benchi la ufundi la timu ya...
10 years ago
MichuziTBL YAWA KINARA ULIPAJI KODI TANZANIA
10 years ago
MichuziDAR ES SALAAM YAWA MABINGWA MICHUANO YA UMISETA TAIFA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JWe3dXBN65E/VhLd6bFjPHI/AAAAAAADAVk/PV432man6d0/s72-c/121.jpg)
IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Michuano ya kombe la Capital One
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Michuano ya kombe la dunia yarindima