Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FC VITO YAWA KINARA KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA HELSINKI CUP 2015, FINLAND

TIMU ya soka ya vijana chini ya miaka 11 ya FC Vito Kilwa ya Kilwa mkoani Lindi, imemaliza mechi za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Helsinki Cup 2015 kwa kishindo, baada ya kushinda mechi nne na kutoka sare moja, hivyo kumaliza ikiwa kinara wa Kundi BJ/11 ikiwa na pointi 13.
Zaidi ya timu 1,200 zinashiriki michuano hiyo ya nne kwa ukubwa miongoni mwa michuano ya vijana barani Ulaya, inayoendelea kushika kasi jijini Helsinki nchini Finland, ambako Tanzania inawakilishwa na FC Vito...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FC Vito ya wilayani Kilwa yaagwaa na kuahidi kurejea na ushindi katika kombe la Helsinki huko Finland

 Meneja Mradi wa Sports Development Aid (SDA) Bw. Mohamed Chigogolo akielezea jambo wakati wa hafla ya kuwaaga watoto wanaoenda kushiriki michuano ya Kombe la Helsinki nchini Finland, hafla hiyo imefanyika jana katika ukumbi wa Ubalozi wa Finland jijini Dar es Salaam.Katikati ni Afisa Michezo Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari, Vijana, na Michezo Bw. Nicholaus Bulamile na Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Bw. Boniface Wambura.

 Balozi wa Finland nchini Bibi....

 

9 years ago

Michuzi

TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND

Mechi ilianza kwa kasi na dakika 1 tu ya mchezo fc bongo walipata bao lao la kwanza kwa mkwaju wa penalt lililofungwa na mchezaji wao machachari Abass Kunha.
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

FC Vito Malaika kupaa Finland kesho

KIKOSI cha FC Vito Malaika cha Ruangwa mkoani Lindi, kilichopo jijini Dar es Salaam tangu Mei 28, kesho kinatarajiwa kukwea pipa kwenda jijini Helsinki, Finland, kushiriki michuano ya ‘Study Cup...

 

10 years ago

Vijimambo

MICHUANO YA MBATIA CUP 2015 SASA YAMALIZA HATUA YA KWANZA YA KUPATA MABINGWA WA KATA.


Kikosi kamili cha timu ya Wazalendo kabla ya mchezo wa fainali. 
Kikosi kamili cha Himo fc kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali . 
Katibu Mwenezi wa chama cha NCCR -Mageuzi ,Stanley Temba akiwa ameongozana na katibu wa Vijana wa chama hicho katika jimbo la Vunjo Danieleson Shayo wakisalimiana na wachezaji wa timu zote mbili kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali. 
Waamuzi wa mchezo huo,Kabwe Korona,Beda Lyimo na Nassib wakizungumza na manahodha wa timu hizo. 
Benchi la ufundi la timu ya...

 

10 years ago

Michuzi

TBL YAWA KINARA ULIPAJI KODI TANZANIA

Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha, akikabidhi Kombe la mshindi wa Meneja wa Fedha wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Alois Qande, wakati wa maadhimisho ya nane ya mlipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania, Dar es Salaam hivi karibuni.

 

10 years ago

Michuzi

DAR ES SALAAM YAWA MABINGWA MICHUANO YA UMISETA TAIFA.

Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akifungua rasmi michuano ya UMISETA ngazi ya Taifa ambayo imemalizika leo asubuhi huko jijini Mwanza kwa mchezo wa fainali kati ya Dar es salaam dhidi ya Nyanda za juu Kusini wavulana, huku fainali nyingine kwa upande wa wasichana ikipigwa jana kati ya Dar es salaam dhidi ya Kanda ya Mashariki.Katika fainali ya jana wasichana, Dar es salaam wametawazwa kuwa mabingwa  baada ya kuwatandika bila huruma Kanda ya Mashariki kwa mabao 7-1,kwenye mchezo uliokuwa na...

 

9 years ago

Michuzi

IDARA YA UHAMIAJI YAWA BINGWA MICHUANO YA MPIRA WA PETE KLABU BINGWA TANZANIA

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiTIMU ya Mpira wa Pete ya Idara ya Uhamiaji,imeibuka mshindi katika michuano ya mashindano ya Klabu bingwa wa mpira wa pete baada ya kuipiga timu ya Mbweni JKT iliyokuwa ikishikilia ubingwa huo. Akizungumza baada ya kupokea kombe hilo ,Kamishina wa Utawala na Fedha wa Idra ya Uhamiaji,Piniel Mgonja  amewataka wachezaji wa timu hiyo kujituma na kuweza kulinda kombe hilo ililisichukuliwe katika michuano mingine. Mgonja amesema katika mwaka huu wamekuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la Capital One

Raheem Sterling aliihakikishia Liverpool kucheza nusu fainali za kombe la Capital One huku Chelsea ikibakia vizuri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la dunia yarindima

Ubelgiji iliicharaza Urusi bao moja bila....wengi wanasema michuano hii ina mizengwe kwani matokeo wanayoshuhudia hawakuyatarajia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani