Michuano ya kombe la Capital One
Raheem Sterling aliihakikishia Liverpool kucheza nusu fainali za kombe la Capital One huku Chelsea ikibakia vizuri.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Ilikoanzia michuano ya Kombe la Chalenji
Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati, (CECAFA) linaelezwa kuwa ni kati ya mMabaraza makongwe barani Afrika katika soka.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Michuano ya kombe la dunia yarindima
Ubelgiji iliicharaza Urusi bao moja bila....wengi wanasema michuano hii ina mizengwe kwani matokeo wanayoshuhudia hawakuyatarajia
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika
Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Chelsea yatinga fainali Kombe la Capital
Chelsea wamefanikiwa kutinga fainali ya kombe la ligi la Capital One baada ya kuwachapa Liverpool bao 1-0
9 years ago
Bongo529 Oct
Manchester United nje kombe la Capital One
Mechi za kombe la Capital One ziliendelea tena October 28 usiku. Miongoni mwa mechi zilizochezwa ni pamoja na Manchester City dhidi ya Crystal Palace. Mchezo huo ulichezwa katika dimba la Etihad. Man City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani wamefanikiwa kuibuka na ushindi mnono wa jumla ya magoli 5-1. Manchester United 0 – 0 Middlesbrough […]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-N0HBZK6cblg/VEYPnkCf3CI/AAAAAAAGsH4/hUpzQo2WZBw/s72-c/unnamed%2B(70).jpg)
MICHUANO YA KOMBE LA CHIKAWE YASHIKA KASI NACHINGWEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-N0HBZK6cblg/VEYPnkCf3CI/AAAAAAAGsH4/hUpzQo2WZBw/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MMnZFVoq8T0/VWqyMNz6-pI/AAAAAAAAQf8/dQVQ3ucxLoo/s72-c/z.jpg)
STARTIMES KUANZA KUONYESHA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA U20
![](http://1.bp.blogspot.com/-MMnZFVoq8T0/VWqyMNz6-pI/AAAAAAAAQf8/dQVQ3ucxLoo/s320/z.jpg)
WAPENZI wa soka nchini sasa watafaidi kwa kutazama michuano ya kombe la dunia chini ya miaka 20 mwaka 2015 moja wa moja kwenye luninga zao kupitia ving’amuzi vya StarTimes pekee.
Michuano hiyo ambayo itaanza kutimua vumbi tarehe 30 mwezi Mei na kumalizika tarehe 20 mwezi Juni mwaka huu moja kwa moja kutoka nchini New Zealand ambapo timu 24 za vijana kutoka mataifa mbalimbali duniani yatachuana kuwania ubingwa.
Akizungumza baada ya kupata haki miliki kutoka kwa FIFA za...
11 years ago
Michuzi03 Mar
Timu ya Man City Mabingwa wapya wa Kombe la Capital One 2014
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/UEYRPLFIkk3W09wuZtCymjzuCQeLKIAJOblfvREcxSsOlKwdqLgXzX8aIiSkXpmRmTax8yrRwLD7Ujjytu2h8l7xk8mzz-qAsdH9529nHL6yEDyrFQRO8XvcWYDJq-VtTUkbBZqpsi4x-mUkwcKs-7VjmrLEu6kIu50-_594r-qljUyL6m_HYH93oZ-pZUf9l6il5d83jIURB84ncV7ovdPEZ3VJWh_AIlcL2VuG22TtzLM2Z1xfETBmGJuEYSVXiaXYTkWvHpyru0sm8ce1D7ay1yq1h2y7S8klX8V2X_fvgcfKoWygPOe1avNcOt1cdhO_Qg1va981qJXXWSiua2pVPZfm3v_09zxaX3RLvcjwfZDumZBa3V52Tk7n80QB=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fi4.mirror.co.uk%2Fincoming%2Farticle3199639.ece%2FALTERNATES%2Fs2197%2FManchester-City-v-Sunderland-Capital-One-Final-3199639.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Katika mchezo huo uliokuwa ni mkali na wa kuvutia,Timu ya Sunderland ndio iliyokuwa ya kwanza kuona lango la Manchester City mnamo dakika ya 10 ya mchezo kupitia kwa Mchezaji wake,Fabio Borini katika kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili kilianza kwa kasi na Timu ya Manchester City...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Malinzi akabidhi kombe bingwa Michuano shule za Sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-yrDakZ0gxM0/UwnwhXOAdxI/AAAAAAAFPDg/NoQOP-X2GWQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania