Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je utatazamia wapi dimba la dunia ?

Mwaka 2010 mashabiki wa soka Uganda walishambuliwa wakitazama fainali za kombe la dunia katika uwanja wa Kyadondo mjini Kampala.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dimba la dunia la wanawake kuanza Canada

Michuano ya kombe la dunia la wanawake inatarajiwa kuanza baadaye hii leo nchini Canada

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika

Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika

 

10 years ago

Vijimambo

Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika-BBC

Mabingwa watetezi wa kombe la Afrika Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika mwaka 2015 huku Afrika kusini na Cameroon zikifuzu katika kinya'nganyiro hicho.

Afrika kusini iliichapa Sudan 2-1 katika mechi yao ya kwanza tangu kuuawa kwa mlinda lango wake Senzo Meyiwa ili kuongoza kundi la Da.

Zambia nayo iliinyamazisha Mozambique 1-0 mjini Moputo kufuzu na katika kundi Fa pamoja na viongozi wa kundi hilo Cape...

 

9 years ago

StarTV

Mabomu ya machozi yatawala dimba la Mkwakwani.

 

Hali ya taharuki imeibuka kwenye uwanja wa CCM Mkwakwani wakati wa mchezo kati ya Coastal Union ya jijini Tanga na Mbeya City.

Mashabiki wa Cost unioni walifikia uamuzi huo baada ya kudai kuwa mwamuzi ndiye aliyewasababishia penalt hiyo kwa sababu zake binafsi.

Taharuki ilianza baada ya mbea City kupata goli moja dakika ya tisini kupitia kwa mchezaji wake Raphael Alpha.

Baada yua matokeo hayo,washabiki cost union wakaanza kurusha mawe uwanjani huku wakitaka kuvunja milango ya kuingilia...

 

10 years ago

BBCSwahili

UK:Hatuna haja kuandaa dimba la 2018

Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limesema kuwa halina haja ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2018 ama lile la mwaka 2022 nchini Qatar

 

10 years ago

Mwananchi

Simiyu, Kigoma kufungua dimba Copa

Mikoa ya Simiyu na Kigoma itakutana uso kwa uso kwenye mchezo wa fungua dimba wa fainali za Taifa za mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 15 ya Copa Coca-Cola utakaofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam, Desemba 13.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani