UK:Hatuna haja kuandaa dimba la 2018
Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limesema kuwa halina haja ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2018 ama lile la mwaka 2022 nchini Qatar
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycO6wNpcw15OKLp*C3hFMPKQz2Uu-ulez9QACBBOYGbU3pd3jaT1qDZI4ay13MgxfUdnRdjr-WNsOM4EtE9V4A19/mgonjwa.gif?width=650)
HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE
Stori:  makongoro oging’
“Maishi yangu yako hatarini, nachungulia kaburi, nimeteseka kwa muda mrefu bila kupona wala msaada, nimetoka katika ukoo maskini unaotegemea kwa asilimia kubwa kilimo cha jembe la mkono, nitapata wapi shilingi milioni moja na laki tano na arobaini na tano elfu ili nikatibiwe?â€
Hii ni sehemu ya kilio cha Steven John anayesumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya tumbo. Steven John...
10 years ago
BBCSwahili16 Nov
Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika
Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Je utatazamia wapi dimba la dunia ?
Mwaka 2010 mashabiki wa soka Uganda walishambuliwa wakitazama fainali za kombe la dunia katika uwanja wa Kyadondo mjini Kampala.
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Dimba la dunia la wanawake kuanza Canada
Michuano ya kombe la dunia la wanawake inatarajiwa kuanza baadaye hii leo nchini Canada
10 years ago
Vijimambo17 Nov
Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika-BBC
Mabingwa watetezi wa kombe la Afrika Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika mwaka 2015 huku Afrika kusini na Cameroon zikifuzu katika kinya'nganyiro hicho.
Afrika kusini iliichapa Sudan 2-1 katika mechi yao ya kwanza tangu kuuawa kwa mlinda lango wake Senzo Meyiwa ili kuongoza kundi la Da.
Zambia nayo iliinyamazisha Mozambique 1-0 mjini Moputo kufuzu na katika kundi Fa pamoja na viongozi wa kundi hilo Cape...
Afrika kusini iliichapa Sudan 2-1 katika mechi yao ya kwanza tangu kuuawa kwa mlinda lango wake Senzo Meyiwa ili kuongoza kundi la Da.
Zambia nayo iliinyamazisha Mozambique 1-0 mjini Moputo kufuzu na katika kundi Fa pamoja na viongozi wa kundi hilo Cape...
10 years ago
BBCSwahili07 Dec
Nigeria na USA kukutana katika dimba
Mabingwa wa Africa; Nigeria wamepangwa katika kundi la kifo la Kombe la dunia la wanawake mwaka 2015 Canada.
9 years ago
Michuzi28 Aug
TWIGA KUFUNGUA DIMBA NA IVORY COAST
![](http://tff.or.tz/images/tanzanite.png)
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Simiyu, Kigoma kufungua dimba Copa
Mikoa ya Simiyu na Kigoma itakutana uso kwa uso kwenye mchezo wa fungua dimba wa fainali za Taifa za mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 15 ya Copa Coca-Cola utakaofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam, Desemba 13.
11 years ago
BBCSwahili09 Jun
Mgomo mpya watatiza Dimba la Brazil
Hofu yakumba maandalizi ya kombe la dunia baada ya Wafanyikazi wa usafiri kuamua kuendelea na mgomo wao jijini Sao Paulo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania