Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UK:Hatuna haja kuandaa dimba la 2018

Shirikisho la soka nchini Uingereza FA limesema kuwa halina haja ya kuandaa kombe la dunia la mwaka 2018 ama lile la mwaka 2022 nchini Qatar

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HAJA NDOGO MRIJA WAKE, HAJA KUBWA MRIJA WAKE

Stori:   makongoro oging’
“Maishi yangu yako hatarini, nachungulia kaburi, nimeteseka kwa muda mrefu bila kupona wala msaada, nimetoka katika ukoo maskini unaotegemea kwa asilimia kubwa kilimo cha jembe la mkono, nitapata wapi shilingi milioni moja na laki tano na arobaini na tano elfu ili nikatibiwe?”
Hii ni sehemu ya kilio cha Steven John anayesumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya tumbo. Steven John...

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika

Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika

 

11 years ago

BBCSwahili

Je utatazamia wapi dimba la dunia ?

Mwaka 2010 mashabiki wa soka Uganda walishambuliwa wakitazama fainali za kombe la dunia katika uwanja wa Kyadondo mjini Kampala.

 

10 years ago

BBCSwahili

Dimba la dunia la wanawake kuanza Canada

Michuano ya kombe la dunia la wanawake inatarajiwa kuanza baadaye hii leo nchini Canada

 

10 years ago

Vijimambo

Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika-BBC

Mabingwa watetezi wa kombe la Afrika Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika mwaka 2015 huku Afrika kusini na Cameroon zikifuzu katika kinya'nganyiro hicho.

Afrika kusini iliichapa Sudan 2-1 katika mechi yao ya kwanza tangu kuuawa kwa mlinda lango wake Senzo Meyiwa ili kuongoza kundi la Da.

Zambia nayo iliinyamazisha Mozambique 1-0 mjini Moputo kufuzu na katika kundi Fa pamoja na viongozi wa kundi hilo Cape...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria na USA kukutana katika dimba

Mabingwa wa Africa; Nigeria wamepangwa katika kundi la kifo la Kombe la dunia la wanawake mwaka 2015 Canada.

 

9 years ago

Michuzi

TWIGA KUFUNGUA DIMBA NA IVORY COAST

TIMU ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inayotarajiwa kuondoka nchini mwishoni mwa mwezi Agosti kuelekea nchini Congo-Brazzavile kwenye Fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) imepangwa kufungua dimba na timu ya Wanawake ya Ivory Coast Septemba 6, 2105.Twiga Stars iliyoweka kambi kisiwani Zanzibar kwa takribani mwezi mmoja sasa, itacheza mchezo wake pili Septemba 9, dhidi ya Nigeria kabla ya kumalizia mchezo wake wa mwisho hatua ya makundi dhidi ya wenyeji Congo-Brazzavile Septemba...

 

10 years ago

Mwananchi

Simiyu, Kigoma kufungua dimba Copa

Mikoa ya Simiyu na Kigoma itakutana uso kwa uso kwenye mchezo wa fungua dimba wa fainali za Taifa za mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 15 ya Copa Coca-Cola utakaofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam, Desemba 13.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mgomo mpya watatiza Dimba la Brazil

Hofu yakumba maandalizi ya kombe la dunia baada ya Wafanyikazi wa usafiri kuamua kuendelea na mgomo wao jijini Sao Paulo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani