Simiyu, Kigoma kufungua dimba Copa
Mikoa ya Simiyu na Kigoma itakutana uso kwa uso kwenye mchezo wa fungua dimba wa fainali za Taifa za mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 15 ya Copa Coca-Cola utakaofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam, Desemba 13.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen06 Nov
Simiyu face baptism of fire, play Kigoma in Copa opener
9 years ago
Michuzi28 Aug
TWIGA KUFUNGUA DIMBA NA IVORY COAST
![](http://tff.or.tz/images/tanzanite.png)
9 years ago
Michuzi17 Sep
PANONE FC KUFUNGUA DIMBA NA JKT OLJORO
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/11/mbeya-city.jpg)
9 years ago
Habarileo29 Aug
Twiga Stars kufungua dimba na Ivory Coast
TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) imepangwa kufungua dimba na Ivory Coast katika fainali za Michezo ya Afrika inayoanza Septemba 4, mwaka huu jijini Brazzaville katika Jamhuri ya Congo.
10 years ago
TheCitizen19 Dec
Kigoma and Dom in Copa Coca-Cola semis
10 years ago
TheCitizen14 Dec
Kigoma shine in Copa Coca-Cola opener
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p_vwL8IvCp4/XrzcPBM0IFI/AAAAAAALqKQ/TWAPAzxrpC0xvP8oUaNiXOmHW1D2EqKPwCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-CAAA-768x512.jpg)
TARURA SIMIYU KUFUNGUA BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA MVUA KUZIFANYA ZIPITIKE WAKATI WOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-p_vwL8IvCp4/XrzcPBM0IFI/AAAAAAALqKQ/TWAPAzxrpC0xvP8oUaNiXOmHW1D2EqKPwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-CAAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-A-2-1024x683.jpg)
Mratibu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Simiyu, Eng. Dkt. Philemon Msomba akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa daraja linalojengwa kwa mpango wa dharura katika eneo la Mto Ndoba ...
9 years ago
Bongo528 Oct
Baba Levo apanga kufungua studio Kigoma
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CC_BdQbdJGo/Xsfz5VbtRBI/AAAAAAALrTs/6CPow7YcVrcdb36Gqf4RE9Mo7B8U4M9wACLcBGAsYHQ/s72-c/3bf7b521-95c5-44a8-b6a6-884ef19f17cd.jpg)
WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.
Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...