Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TWIGA KUFUNGUA DIMBA NA IVORY COAST

TIMU ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inayotarajiwa kuondoka nchini mwishoni mwa mwezi Agosti kuelekea nchini Congo-Brazzavile kwenye Fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) imepangwa kufungua dimba na timu ya Wanawake ya Ivory Coast Septemba 6, 2105.Twiga Stars iliyoweka kambi kisiwani Zanzibar kwa takribani mwezi mmoja sasa, itacheza mchezo wake pili Septemba 9, dhidi ya Nigeria kabla ya kumalizia mchezo wake wa mwisho hatua ya makundi dhidi ya wenyeji Congo-Brazzavile Septemba...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars kufungua dimba na Ivory Coast

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) imepangwa kufungua dimba na Ivory Coast katika fainali za Michezo ya Afrika inayoanza Septemba 4, mwaka huu jijini Brazzaville katika Jamhuri ya Congo.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars, Ivory Coast mtihani mkubwa

TIMU ya soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars leo inashuka uwanjani kumenyana na wenzao wa Ivory Coast kwenye michuano ya Afrika (All Africa Games) inayofanyika Congo Brazzavile. Twiga Stars iliondoka nchini juzi pamoja na wachezaji wa michezo mingine kwa ndege maalumu tayari kwa kushindana.

 

9 years ago

Michuzi

PANONE FC KUFUNGUA DIMBA NA JKT OLJORO

Na Woinde Shizza,Arusha TIMU ya panone FC ya mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro maarufu kama matajiri wa mafuta ,inatarajia kuanza kutupa karata yake ya mchezo wa kwanza wa ligi daraja la kwanza(FDL) dhidi ya maafande wa JKT Oljoro ya jijini Arusha.Mchezo  huo utafanyika septemba 19 mwaka huu, katika uwanja wa Ushirika mjini moshi mkoani kilimanjaro,ambapo  baada ya mchezo huo pia wataikaribisha timu ya Polisi Tabora semptemba  26.
Katibu wa timu ya Panone FC  Augstino mwakatumbula alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Simiyu, Kigoma kufungua dimba Copa

Mikoa ya Simiyu na Kigoma itakutana uso kwa uso kwenye mchezo wa fungua dimba wa fainali za Taifa za mashindano ya vijana chini ya umri wa miaka 15 ya Copa Coca-Cola utakaofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam, Desemba 13.

 

12 years ago

BBC

Ivory Coast profile

Provides an overview of Ivory Coast, including key events and facts about this west African country recently plagued by civil war

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast v Algeria

Preview followed by live coverage of Sunday's Africa Cup of Nations quarter-final between Ivory Coast and Algeria.

 

10 years ago

BBC

Cameroon v Ivory Coast

Cameroon and Ivory Coast's Afcon fate could be down to a drawing of lots, along with Guinea and Mali, after today's matches.

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast 1-1 Guinea

Ivory Coast fight back to draw with Guinea, despite having Gervinho sent off in their Africa Cup of Nations opener.

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast v Guinea

Guinea captain Kamil Zayatte has a leg injury and will miss his side's Africa Cup of Nations match against Ivory Coast on Tuesday.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani