Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga Stars, Ivory Coast mtihani mkubwa

TIMU ya soka ya taifa ya wanawake Twiga Stars leo inashuka uwanjani kumenyana na wenzao wa Ivory Coast kwenye michuano ya Afrika (All Africa Games) inayofanyika Congo Brazzavile. Twiga Stars iliondoka nchini juzi pamoja na wachezaji wa michezo mingine kwa ndege maalumu tayari kwa kushindana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars kufungua dimba na Ivory Coast

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) imepangwa kufungua dimba na Ivory Coast katika fainali za Michezo ya Afrika inayoanza Septemba 4, mwaka huu jijini Brazzaville katika Jamhuri ya Congo.

 

9 years ago

Michuzi

TWIGA KUFUNGUA DIMBA NA IVORY COAST

TIMU ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inayotarajiwa kuondoka nchini mwishoni mwa mwezi Agosti kuelekea nchini Congo-Brazzavile kwenye Fainali za Michezo ya Afrika (All Africa Games) imepangwa kufungua dimba na timu ya Wanawake ya Ivory Coast Septemba 6, 2105.Twiga Stars iliyoweka kambi kisiwani Zanzibar kwa takribani mwezi mmoja sasa, itacheza mchezo wake pili Septemba 9, dhidi ya Nigeria kabla ya kumalizia mchezo wake wa mwisho hatua ya makundi dhidi ya wenyeji Congo-Brazzavile Septemba...

 

9 years ago

Bongo5

Nina mtihani mkubwa wa kuipiku Imebaki Story — Hemedy PHD

Hemedy PHD amewataka mashabiki wa muziki wake kukaa mkao wa kula kwa ujio wa kazi yake mpya iitwayo Some Day aliyomshirikisha Mr Blue. Hata hivyo amedai kuwa ana kazi kubwa kuweza kuupiku wimbo wake uliopita. Hemedy ambaye kwa sasa anatamba na video ya wimbo, Imebaki Story, ameiambia E-Newz ya EATV kuwa anajipanga kufanya kitu kikubwa […]

 

11 years ago

Mwananchi

Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela

>Licha ya kuacha simanzi na majozi kwa wananchi wa Afrika Kusini na dunia nzima, kifo cha Rais wa kwanza wa kizalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ni kama kimempa nafasi ya kupumua Rais Jacob Zuma.

 

9 years ago

Bongo5

Suma Mnazareti adai kujua mashabiki wanataka muziki upi ndio mtihani mkubwa

Suma Mnazareti anaamini kuwa mtihani mkubwa wanaokumbana nao wasanii wengi ni kujua muziki upi Watanzania wanautaka pamoja na muda gani. Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa hicho pia ni kitu kinachomsumbua. “Nafikiri sasa hivi kuna aina fulani ya muziki ambao upo pia ndio maana muda mrefu ilinibidi nikae kimya. Ilikuwa inaniuma kwa sababu hata watu wananiambia […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast vs Colombia

Ivory Coast inachuana na Colombia katika mechi ya pili ya kundi C.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast yanusurika

Mchezaji Max Gradel wa Ivory Coast alifunga bao la dakika za mwisho dhidi ya Mali na hivyobasi kuimarisha matumaini yao

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast v Mali

Preview followed by live coverage of Saturday's Africa Cup of Nations game between Ivory Coast and Mali.

 

10 years ago

BBC

DR Congo v Ivory Coast

Preview followed by live coverage of Wednesday's Africa Cup of Nations game between DR Congo and Ivory Coast.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani